Naweza kuchaguliwa kwenda a'level

Joined
Jun 10, 2013
Posts
11
Reaction score
0
Jaman wakuu zangu naomba mifahamishe kama kama naweza chaguliwa kwenda a'level ktk government shool kwa matokeo haya CIV-C HIST-D KISW-C ENG-C GEO-D CHEM-D BIO-D MATH-D ni dv 3 ya 25 nitashukuru sana wakubwa zangu.
 
Jaman wakuu zangu naomba mifahamishe kama kama naweza chaguliwa kwenda a'level ktk government shool kwa matokeo haya CIV-C HIST-D KISW-C ENG-C GEO-D CHEM-D BIO-D MATH-D ni dv 3 ya 25 nitashukuru sana wakubwa zangu.

unaulidha makof kwa polisi 3 weeks remains ushanunua tranka na godoro? Anza maandaliz 2gother we are
 
Jaman wakuu zangu naomba mifahamishe kama kama naweza chaguliwa kwenda a'level ktk government shool kwa matokeo haya CIV-C HIST-D KISW-C ENG-C GEO-D CHEM-D BIO-D MATH-D ni dv 3 ya 25 nitashukuru sana wakubwa zangu.

yan hapo comb itakayopewa first priority ni hkl kwa 7b ndo ina point nyingi
 
kama mdogo wangu ...sema tuu hizo c alizopata ni ya History, bios na chemistry.
 
kama mdogo wangu ...sema tuu hizo c alizopata ni ya History, bios na kiswahili
 
Mkuu hapo lazima uchaguliwe ila HKL... So uwe na amani tu.
 
Jaman wakuu zangu naomba mifahamishe kama kama naweza chaguliwa kwenda a'level ktk government shool kwa matokeo haya CIV-C HIST-D KISW-C ENG-C GEO-D CHEM-D BIO-D MATH-D ni dv 3 ya 25 nitashukuru sana wakubwa zangu.

Mkuu Edwini, anza maandalizi kabisa, nina imani wote waliofaulu mwaka huu III-25 kupanda juu hamna atakayekosa nafasi ya kwenda Advance coz hata ufaulu wenyewe si umeuona mwaka huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…