Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nifamuvyo km nimtu wa misele sn hukai sehemu moja best option ni mifi router inakua na laini ndani halafu wanakuunga nakifurushi chako. ..ww kazi yako nikukichaji tu nothing else.hapo hapo ndio pa kuwakamatia, so hio mifi router ina laini ndani ?
Ni Microwave mkuu huwezi tumia kwenye simu. The way inavyotuma data toka mnara hadi kwenye kifaa chao nyumbani ni tofauti na simu.Habari zenu, nimeona hii huduma ikiwa inajadiliwa sana humu ndani na ningependa kujua kama naweza kuitumia kwenye simu ya mkononi ?
Ni kwa matumizi ya familia nikiwa nyumbani hasa kuanzia mida ya jioni lakini nikiwa ofisini nataka niwe nayo
This is wrong mkuu...nyumbani lazima wakupe njia ya kukuwekea iliuweze tumiaNi Microwave mkuu huwezi tumia kwenye simu. The way inavyotuma data toka mnara hadi kwenye kifaa chao nyumbani ni tofauti na simu.
Kwa simu kuna kasi internet ila inadrop speed kuwa ndogo sana ukimaliza GB.
soma vizuri swali la mleta madaThis is wrong mkuu...nyumbani lazima wakupe njia ya kukuwekea iliuweze tumia
To mifi router or wakufungie zile router unazoweza tumia kwa watu like 10.
Haijalishi wanakuweka fiber or microwave kikubwa mtumiaji anawezaje patahuduma?