Vyuo vya afya vimepanga ratiba ya mithani hadi siku ya siku kuu ya kiserikali.
Vyuo hivi vina watumishi wa umma pia ambao kwa namna moja ama nyingine wanayo majukumu katika siku hii maalum ya kusherehekea Uhuru wa Tanganyika.
Kwanini hawa wanaopanga kazi siku kama hii wasichukuliwe hatua kwa kudharau sheria ya nchi maana ni watumishi wa serikali?
Je, ninaweza kukata rufaa kupinga maamuzi yoyote yatakayotolewa dhidi yangu kwa kukataa kufanya mtihani siku hii?
Vyuo hivi vina watumishi wa umma pia ambao kwa namna moja ama nyingine wanayo majukumu katika siku hii maalum ya kusherehekea Uhuru wa Tanganyika.
Kwanini hawa wanaopanga kazi siku kama hii wasichukuliwe hatua kwa kudharau sheria ya nchi maana ni watumishi wa serikali?
Je, ninaweza kukata rufaa kupinga maamuzi yoyote yatakayotolewa dhidi yangu kwa kukataa kufanya mtihani siku hii?