Naweza kukishtaki chuo?

Naweza kukishtaki chuo?

mahirtwahir

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2013
Posts
613
Reaction score
313
Waungwana msaada wenu unahitajika.

Chuo kimoja cha ZCBE ambacho kimesajiliwa na Nacte kwa kozi moja tu ya Accountancy kikaamua kuendesha na kozi nyengine hizi hapa :- Business Administration, Procurement and supply na Human Resource katika ngazi ya Certificate na Diploma sasa kwa mfumo wa huko nyuma ilikua wanafunzi wote wanapata kujiunga na Degree bila ya shida ila ulipokuja huuu mfumo wa verification number kutoka nacte imekua shida.

Nacte wameshindwa kutoa verification no kwa wanafunzi wa chuo hicho wakisema kua chuo hicho kimesajiliwa kutoa kozi moja tuuu nyengine zote hawazitambui.

Sasa licha ya kupoteza pesa ila na muda pia si rafiki kwa mtu mwenye malengo Tunaomba msaada wa kisheria namna ya kufanya ili kupata kilicho haki yetu maana chuo kilitudanganya kwa kusema kua kozi hizo zilikua zimesahasajiliwa ila Nacte tuuu hawajazitia katika Database yao.

Hata kukishtaki chuo tuko tayari tunaomba msaada maaana na mie ni mmoja miungoni mwa wahanga.
 
Waungwana msaada wenu unahitajika.

Chuo kimoja cha ZCBE ambacho kimesajiliwa na Nacte kwa kozi moja tu ya Accountancy kikaamua kuendesha na kozi nyengine hizi hapa :- Business Administration, Procurement and supply na Human Resource katika ngazi ya Certificate na Diploma sasa kwa mfumo wa huko nyuma ilikua wanafunzi wote wanapata kujiunga na Degree bila ya shida ila ulipokuja huuu mfumo wa verification number kutoka nacte imekua shida.
Nacte wameshindwa kutoa verification no kwa wanafunzi wa chuo hicho wakisema kua chuo hicho kimesajiliwa kutoa kozi moja tuuu nyengine zote hawazitambui.

Sasa licha ya kupoteza pesa ila na muda pia si rafiki kwa mtu mwenye malengo Tunaomba msaada wa kisheria namna ya kufanya ili kupata kilicho haki yetu maana chuo kilitudanganya kwa kusema kua kozi hizo zilikua zimesahasajiliwa ila Nacte tuuu hawajazitia katika Database yao.

Hata kukishtaki chuo tuko tayari tunaomba msaada maaana na mie ni mmoja miungoni mwa wahanga.
Nacte nao Utasajili vipi chuo iendeshe kozi moja tu?
 
Waungwana msaada wenu unahitajika.

Chuo kimoja cha ZCBE ambacho kimesajiliwa na Nacte kwa kozi moja tu ya Accountancy kikaamua kuendesha na kozi nyengine hizi hapa :- Business Administration, Procurement and supply na Human Resource katika ngazi ya Certificate na Diploma sasa kwa mfumo wa huko nyuma ilikua wanafunzi wote wanapata kujiunga na Degree bila ya shida ila ulipokuja huuu mfumo wa verification number kutoka nacte imekua shida.
Nacte wameshindwa kutoa verification no kwa wanafunzi wa chuo hicho wakisema kua chuo hicho kimesajiliwa kutoa kozi moja tuuu nyengine zote hawazitambui.

Sasa licha ya kupoteza pesa ila na muda pia si rafiki kwa mtu mwenye malengo Tunaomba msaada wa kisheria namna ya kufanya ili kupata kilicho haki yetu maana chuo kilitudanganya kwa kusema kua kozi hizo zilikua zimesahasajiliwa ila Nacte tuuu hawajazitia katika Database yao.

Hata kukishtaki chuo tuko tayari tunaomba msaada maaana na mie ni mmoja miungoni mwa wahanga.
Kushitaki inawezekana, masuala ya procedure ni technical muhimu ni kumuweka wakili...
 
Nacte nao wapumbafu...
Utasajili vipi chuo iendeshe kozi moja tu?

Hapa upumbavua wa nacte upo wapi? Maana toka kabla ya nacte vyuo vilikuwa vinaanzishwa kwa kuendesha kada moja tu mfano nursing.
 
Hapa upumbavua wa nacte upo wapi? Maana toka kabla ya nacte vyuo vilikuwa vinaanzishwa kwa kuendesha kada moja tu mfano nursing. Sasa hapa nani mpumbavu kama si wewe useyejua hayo?
Ok mkuu. Labda sikuelewa. Hivi hiyo accountancy iliyisajiliwa ni somo ama kozi?
 
Ok mkuu. Labda sikuelewa. Hivi hiyo accountancy iliyisajiliwa ni somo ama kozi?
Yaaani wamesajili kama ni Course na ukiomba degree kama umesoma Accountancy basi unapata vzr ila kama umesoma kama B. A ama low basi hupati verification kwa hio inakua umeishia kua na cheti feki cha diploma kwa sie wenye malengo ya degree basi ndoto zimefifia hapa
 
Back
Top Bottom