Naweza kupata bumper hili la Alteza?

X_INTELLIGENCE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2014
Posts
10,400
Reaction score
14,339
WAKUU KUNA GARI ALTEZA BUMPER LAKE LA MBELE LIMEHARIBIKA LIMEBONDEKA KWA YEYOTE ANAYEJUA BEI YA ILO BUMPER AU ANAJUA JINSI UPATIKANAJI WAKE KWA WEPESI ZAIDI NAOMBA UWEKE CONTACT YAKO TUWAZIRIANE TUFANYE BIASHARA.
 

Attachments

  • 16507510_751457048338177_2011874521_n.jpg
    53.8 KB · Views: 85
  • 16521566_751457245004824_623502666_n.jpg
    54.6 KB · Views: 85
  • 16558330_751457345004814_389613226_n (1).jpg
    46.2 KB · Views: 83
  • 16558330_751457345004814_389613226_n.jpg
    46.2 KB · Views: 113
Alteza ni gari za wahuni lazma nawe utakuwa miongoni mwao,Gari hadi inafugwa waya? Any way bumper zipo nying tu sema upo mkoa gan
 
Alteza ni gari za wahuni lazma nawe utakuwa miongoni mwao,Gari hadi inafugwa waya? Any way bumper zipo nying tu sema upo mkoa gan
MKUU NIPO RUVU UKU PWANI...
 
Mkuu, hilo bumper la sporty haliendani na bara bara zetu, na ndio maana limechanika kwa sababu gari ikiingia kwenye mashimo linagusa chini. Kama unakaa Sitimbi, weka tu lile la kawaida ili usiumize roho yako...
 
Mkuu, hilo bumper la sporty haliendani na bara bara zetu, na ndio maana limechanika kwa sababu gari ikiingia kwenye mashimo linagusa chini. Kama unakaa Sitimbi, weka tu lile la kawaida ili usiumize roho yako...
asante kwa ushauri mkuu
 
Hapo andaa si chini ya Laki 3 hadi 4. Body parts za gari kama Bumper, Grill, Side kits au lips bei zake si haba wakati ni kitu kidogo tu.
 
mkuu nenda njia ya tandale /sinza uzuri utapata andaa 150,000 ila ukiwa mjanja weka lile la kawaida.Pili ukikosa nenda africa sana nyuma ya soko kuna wachina pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…