Naweza kupata HIV/AIDS kwa kukatwa na mashine ya kunyolea?

Naweza kupata HIV/AIDS kwa kukatwa na mashine ya kunyolea?

Dr.philosophy

Senior Member
Joined
Oct 12, 2012
Posts
122
Reaction score
27
Jamani msaada wenu tafadhali.

NJana nilienda saloon kunyoa,sasa jamaa mashine yake ni kali mno na kwa bahati mbaya akanikata sehemu kubwa kidogo.

Nikamuuliza mtu wa kwanza kunyolewa ni yupi akasema mimi ndo wa kwanza,sasa sijui kuna uwezekano wa kupata maambukizi au vipi mana jana yake kuna jamaa alikuja kunyoa akafuata dogo fulani hivi then mimi nikaja kunyoa kesho yake ambayo ndo jana.

Msaada tafadhali.Natanguliza shukrani.
 
Yaaani tayari wewe ni muathirika anza kumeza ARV
 
jamani msaada wenu tafadhali.jana nilienda saloon kunyoa,sasa jamaa mashine yake ni kali mno na kwa bahati mbaya akanikata sehemu kubwa kdogo.Nikamuuliza mtu wa kwanza kunyolewa ni yupi akasema mimi ndo wa kwanza,sasa sijui kuna uwezekano wa kupata maambukizi au vipi mana jana yake kuna jamaa alikuja kunyoa akafuata dogo flan hivi then mi nikaja kunyoa kesho yake ambayo ndo jana.msaada tafadhali.natanguliza shukrani

Baada ya Hapo ulichukua hatua gani mkuu
 
Unatafuta chaka la maambukizi kwa njia ya kunyoa wewe..............
 
We umepima? Vp ikiwa kujikata kwako îkawa chachu ya maambukiz kwa wengne'...
 
siyo kweli



namshauri kabla ya kunyoa ahakikishe mashine imekuwa sterilized na spirit

Kumbe spirit inaua vvu basi ni bora tungekuwa tunapaka spirit madushelele tukimaliza kutomba ili kuya sterelize
 
Kumbe spirit inaua vvu basi ni bora tungekuwa tunapaka spirit madushelele tukimaliza kutomba ili kuya sterelize

Nimecheka sana wandugu cjui mnafikiriga nn.....
 
Baada ya Hapo ulichukua hatua gani mkuu
Nilipaka spirit na kumuuliza kuhusu watu walionyoa siku hiyo akasema mi ndo wa kwanza sasa vvu wanaweza kuwa alive kwa zaidi ya masaa kumi,hapo sijajua sasa
 
Nilipaka spirit na kumuuliza kuhusu watu walionyoa siku hiyo akasema mi ndo wa kwanza sasa vvu wanaweza kuwa alive kwa zaidi ya masaa kumi,hapo sijajua sasa

Mkuu maambukizi kwa njia ya shaving machine is almost NIL kikubwa zingatia kabla haijatua kichwani mwako imepakwa spirit. Pia no vyema ukawa name mashine yako peke yako au name family kuepuka risk

Mimi mwenyewe ni victim lakini sijaambukizwa maradhi yoyote.


Ondoa shaka
 
Mkuu maambukizi kwa njia ya shaving machine is almost NIL kikubwa zingatia kabla haijatua kichwani mwako imepakwa spirit. Pia no vyema ukawa name mashine yako peke yako au name family kuepuka risk

Mimi mwenyewe ni victim lakini sijaambukizwa maradhi yoyote.


Ondoa shaka
Daah basi nilikuwa na shaka sana,ila kuna dokta nilimuuliza akasema kuwa vvu hawawezi kukaa outside the body(host) kwa zaidi ya masaa matatu,sasa nipo katika kupata uhakika tu
 
siyo kweli



namshauri kabla ya kunyoa ahakikishe mashine imekuwa sterilized na spirit

Naomba nami kuelimishwa zaidi hapa maana nafika sana saloon kunyoa, spirit kweli inaweza isafisha machine na kuwa salama kabisa? Nataka nianzishe utaratibu wa kusimamia mwenyewe ikisafishwa kabla ya kuitumia kabla sijapata machine yangu mwenyewe.
 
Naomba nami kuelimishwa zaidi hapa maana nafika sana saloon kunyoa, spirit kweli inaweza isafisha machine na kuwa salama kabisa? Nataka nianzishe utaratibu wa kusimamia mwenyewe ikisafishwa kabla ya kuitumia kabla sijapata machine yangu mwenyewe.

Tekeleza hayo uliyoyasema mkuu
 
Back
Top Bottom