Naweza kupata mimba?

Naweza kupata mimba?

Black Lady

Member
Joined
Nov 16, 2013
Posts
65
Reaction score
8
Habari wakuu.

Mimi na Mr tumekua tukiishi mbali kwa sababu ya kazi, wiki ilopita nimerudi likizo nikiwa kwny danger days. I mean siku ya 10 nimekaa siku 6 na zote tulifanya mapenzi.

Nikaanza kutumia vidonge vya majira cku ya 11 na kuendelea. Je ninaweza kushika mimba kwenyesituation kama hiyo? Thanks in advance.
 
Nifahamuvyo vidonge vya majira unatakiwa unywe kila siku kama unatumia njia hiyo.

Kuhusu kupata mimba kwa siku hizo ulizosema uwezekano ni mkubwa kwa sababu ni siku za hatari na hivyi vidonge sidhani kama vitakusaidia kwa ghafla namna hiyo.

Cha msingi mwambie mzee atoe nje kipindi akitaka kumaliza au mtumie kinga.

Ni kwa kadri ya uelewa wangu.
 
Nifahamuvyo vidonge vya majira unatakiwa unywe kila siku kama unatumia njia hiyo.

Kuhusu kupata mimba kwa siku hizo ulizosema uwezekano ni mkubwa kwa sababu ni siku za hatari na hivyi vidonge sidhani kama vitakusaidia kwa ghafla namna hiyo.

Cha msingi mwambie mzee atoe nje kipindi akitaka kumaliza au mtumie kinga.

Ni kwa kadri ya uelewa wangu.

asante sana Mzee wa Rula. i c!
 
Last edited by a moderator:
...apo uwezekano ni mkubwa sana! Ungetumia kabla ya siku za hatari..
 
asantemi kwa ushauri. ni baada ya mda gani mimba inaonekana kwenye upt. thanx @iyoko nkongu
 
Last edited by a moderator:
ninae mmoja@nitonye

Ok mimi kwa uelewa wangu ukimeza kidonge chochote cha majira hata kama mimba ilishatungwa lazima iharibike. Na kama unaendelea kutumia hizo dawa bila kusikia mabadiliko yoyote mimba haipo.

Angalizo tumia ushauri alio kupa Ruta usiwe mtumwa wa vidonge vya kila siku
 
thanx. nitonye ukweli leo ni kama cku ya 3 toka nimetumia. sijisikii chochote. niko normal tu
 
Uwezekano wa kupata mimba ni % mia hapo. Vidonge vya majira sio vizuri, tumieni kinga tu ndio mtaepukana na mimba zisizotarajiwa.
NB; ukiona hujapata siku zako wahi Upt mapema ndugu.
 
habari wakuu.
mimi na Mr tumekua tukiishi mbali kwa sababu ya kazi. wk ilopita nimerudi likizo nikiwa kwny danger days. i mean siku ya 10 nimekaa siku 6 na zote tulifanya mapenzi. nikaanza kutumia vidonge vya majira cku ya 11 na kuendelea. je ninaweza kushika mimba kwenyesituation kama hiyo? thanx in adv

Mind U Cku ya 10 Si lazima iwe Danger kwa Kila mwanamke, It depend on your Cycle length, kama ni ile ya 28 days Then 14th day ni mbaya though kuanzia ya 10 to 14 are bad too, lakin pia hivo vdonge vya Majira ni vipi hvyo? vile vya kawaida au Zile Emergency Contraceptive i mean levonogestrel? kama ni hizo na uliznywa ndani ya Masaa 72 then u are safe! No preg!
 
Back
Top Bottom