Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka picha tukutafutieWakuu wote habar zenu...
Nauliza kama naweza kupata gari tajwa Kwa bei hiyo.
iwe namba D
Kama kuna atakayekwazika natanguliz samahani.
Naleta Kwa hatua yenu.
Ongeza pichaView attachment 3093479
Ongeza Laki 5 nikuachie chuma hicho. Engine na gear box havijaguswa kabisa.
Hapo ukitupia laki tano ya ufundi unauza hata mil.18. kitu namba E.
Alikuwa anaendesha mdada wa kihindi. Gari ya kufugwa😃😃
EboooLabda ya wizi
HahahahaView attachment 3093479
Ongeza Laki 5 nikuachie chuma hicho. Engine na gear box havijaguswa kabisa.
Hapo ukitupia laki tano ya ufundi unauza hata mil.18. kitu namba E.
Alikuwa anaendesha mdada wa kihindi. Gari ya kufugwa😃😃
Si ndio nyie mnatunanga tunaendesha IST??View attachment 3093479
Ongeza Laki 5 nikuachie chuma hicho. Engine na gear box havijaguswa kabisa.
Hapo ukitupia laki tano ya ufundi unauza hata mil.18. kitu namba E.
Alikuwa anaendesha mdada wa kihindi. Gari ya kufugwa😃😃
Wakuu wote habar zenu...
Nauliza kama naweza kupata gari tajwa Kwa bei hiyo.
iwe namba D
Kama kuna atakayekwazika natanguliz samahani.
Naleta Kwa hatua yenu.
Hautukwazi tajiiriiiiiiKama kuna atakayekwazika natanguliz samahani.