Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Kwema wananzengo?
Anaejua zinapopatikana hizi sabuni anielekeze, naomba na bei yake kwa jumla, ndogo na kubwa tafadhali. Sitaki rejareja!
Asanteni
Usiku mwema!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
3K?Kariakoo kwenye maduka ya vipodozi, 3k
mimi sabuni yangu pendwa ni protex fulani ina rangi ya kijani
huwa nanunua box zima kkoo 80k
Kariakoo msimbazi maduka ya vipodozi
Reja reja nimenunua ile kubwa leo kwa 2,500. Kama upo serous nenda kwenye maduka makubwa ya jumla.
Kariakoo kwenye maduka ya vipodozi, 3k
nenda kariakoo, kule mtaa wa cello ndani kuna maduka ya jumla utapata cheap, au kule kwenye maduka ya pampers za jumla kwa mbele kuna maduka juu na chini utapata kwa bei nafuuu
Hizi nenda mchikichi utapata Kwa bei Nzuri
Msimbazi siyo mambo yao haya
KaribuAhsante Amehlo
Mimi hii ndio sabuni yangu pendwa nimerithi toka kwa Marehemu baba yangu toka mdogo miaka ya 90 ndio ilikuwa sabuni yake hii na mimi nimekuwa mtu mzima ni mwendo wa imperial tumimi sabuni yangu pendwa ni protex fulani ina rangi ya kijani
huwa nanunua box zima kkoo 80k
Ahsante Horn
Huyu mcheki 0759486306View attachment 2278677View attachment 2278678
Kwema wananzengo?
Anaejua zinapopatikana hizi sabuni anielekeze, naomba na bei yake kwa jumla, ndogo na kubwa tafadhali. Sitaki rejareja!
Asanteni
Usiku mwema!
Huyu mcheki 0759486306