Naweza kusoma Diploma kwenye vyuo vya afya bila kupitia NACTE ?

muzdalifa

Member
Joined
May 30, 2014
Posts
58
Reaction score
8
Wadau kama kuna mtu anajua chuo chochote cha private ambacho naweza kusoma diploma ya course za afya bila kupitia nacte anijulishe jamani
 
wadau kama kuna mtu anajua chuo chochote cha private ambacho unaweza omba kusoma diploma za course za afya bila kupitis nacte anijulishe jamani

Kwa nin unataka ku bypass hicho kitu fuata taratibu amna shortkati
 
Kwa lugha nyingine unatafuta Chuo kisichotambulika na NACTE!!

Bahati mbaya sikijui chochote.
 
Nahisi unaweza kupata direct entry moja kwa moja chuoni.
Kam college of health science, city college, st.Andrew hiki kinachukua mpaka div4 ya arobaini.
 
No way lazima uingie kwenye system hata kama utachaguliwa name CHUO chochote lazima uende nacte
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…