Afande Nyati
JF-Expert Member
- Nov 10, 2012
- 2,385
- 1,414
Habari zenu wana JF, Poleni na majukumu ya kila siku..... naomba kuuliza kama kuna uwezekano wa kusoma MA tofauti na degree ya kwanza niliyosomea.....
Inategemea ni degree ipi na unataka kusoma chuo ipi, ungefunguka zaidi
Nimesoma degree ya political science na public administration mkuu, nataka niendelee na masuala ya uchumi je itawezekana hata kwa kupitia post-graduate...........
Hebu nijuze kwanini unataka ukasome masters ya uchumi...?
Je wewe ni muajiriwa unataka ukaongeze ujuzi...?
Au umemaliza degree mtaani pagumu na ajira hakuna...?
Nifahamishe tafadhari...!!!!