Jaman matokeo yameniacha vibaya na sitaki kuludia shule,naweza kusoma nini na matokeo yangu ni division four point 33,naomba ushauri maana nahisi kukata tamaa.
kweli kbsJaribu kusetle kwanza kimawazo ucpaparike mdogo wangu nae ana division kama yako na point hiyohiyo ila kufeli co mwisho wa maisha na nyie co wa kwanza then njia pekee ya kufuata ni kureseet2 cdhani kama mnaweza mkafanikiwa kupata chuo kwa point hiyo..... Be strong Guys Dats how lyf Is!!!!!
Jaman matokeo yameniacha vibaya na sitaki kuludia shule,naweza kusoma nini na matokeo yangu ni division four point 33,naomba ushauri maana nahisi kukata tamaa.
Yesu kristo wa Nazareth ndiyo jibu lako la maisha yako, kwake hakuna lisilowezekana.
Wewe nawe,ni juzi tu hapa hoja kuhusu elimu ya Nape ilirindima hapa JF akipata point 29 kidatu cha nne,huyu dogo amepata point 33 hawajaachana sana leo hii Nape ana masters na yeye ni member hapa kwa nini asitumike kumshauri huyu kijana njia alizopita hadi leo hii ni Katibu mkuu chama tawala,amewazidi hata wale waliopasi na division 1 na 2 maisha yake safi VX inamsubiri mlangoni anataka nini zaidi???jamani muwe mnaangalia na ushauri wa kumpa mtu. Kumbukeni kabisa huyu kijana mdogo na kwa matokeo hayo amechanganyikiwa, so he/she needs a constructive advice badala ya hizo comedy zenu mlizomwandikia hapo juu. Lets grow up, mnasikitisha ni bora kupita bila kutoa ushauri wowote