Naweza kutengeneza vifaa vya kufanya pikipiki itumike kilimo cha umwagiliaji, wazo langu nalilindaje nikitia hela?

Naweza kutengeneza vifaa vya kufanya pikipiki itumike kilimo cha umwagiliaji, wazo langu nalilindaje nikitia hela?

Lububi

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2013
Posts
2,158
Reaction score
3,808
Ni ukweli wa wazi kuwa wakulima wengi wanamiliki pikpiki hasa za kichina na India. Lakin zinatumika kwa usafiri tu. Nina wazo la kuongeza kifaa kidogo ili hiyo hiyo pikipiki iweze kumpeleka mtu shambani na akakifunga tu pikpik ikawa pump ya umwagiliaji.

Najua kila mpenda kilimo anaelewa tuko dunia ya kilimo cha umwagiliaji. Ila pump ni ghali pia. Lakini unaweza kuwekeza na kushirikiana na sido na ukaambulia wengine kutengeneza hata hujarudisha pesa.

Je, naweza kudhibiti hiyo bidhaa nikasupply mimi mbunifu tu? Yani je aina hii ya ubunifu inaweza kupewa hadhi ya hatimiliki? Au ndo soko huria!
 
Rwazi1,
Pulling system hata mm nshawai kujaribu ila nikakosa pampu ndogo ambayo itasukumwa na pikipiki
 
Nenda costech ili uweze kusaidiwa na kupata maelekezo. Ubunifu wako unahitajika sana.

Kama upo mkoani nenda kwenye ofisi za veta, mkuu wa wilaya (onana na mkuu wa wilaya) na ofisi za veta.
Masuala ya hatimiliki nenda brela watakueleza.



Ila nenda COSTECH ndio sehemu salama zaidi.
 
Andika proposal tafuta investors vinginevyo uginduzi wako haufiki popote utaibiwa tu.Costec hawaaminiki basikia Luna watu wamrwahi ibiwa aidia zao hasa kwenye IT.
Mi nawazo tofauti na la kwako kwa kutumia jenereta na injini ya pikipiki.Siwezi enda costec, ntakomaa mtaani tu.
 
Washafanya wakenya hata wewe ndio ulipojua ilo then unakuja eti unawazo kakoje ulale
 
Ni ukweli wa wazi kuwa wakulima wengi wanamiliki pikpiki hasa za kichina na India. Lakin zinatumika kwa usafiri tu. Nina wazo la kuongeza kifaa kidogo ili hiyo hiyo pikipiki iweze kumpeleka mtu shambani na akakifunga tu pikpik ikawa pump ya umwagiliaji.

Najua kila mpenda kilimo anaelewa tuko dunia ya kilimo cha umwagiliaji. Ila pump ni ghali pia. Lakini unaweza kuwekeza na kushirikiana na sido na ukaambulia wengine kutengeneza hata hujarudisha pesa.

Je, naweza kudhibiti hiyo bidhaa nikasupply mimi mbunifu tu? Yani je aina hii ya ubunifu inaweza kupewa hadhi ya hatimiliki? Au ndo soko huria!
[/QUOT
Ingia Google wahindi washafanya kitambo pump za umwagiliaji kwa kutumia pikipiki.Sio kumwagilia tu inafanya kazi zote mfano kulima, kupalilia,kupuliza dawa,kupukuchua mahindi,kufua umeme,kukata nyasi,nk.
 
Ni ukweli wa wazi kuwa wakulima wengi wanamiliki pikpiki hasa za kichina na India. Lakin zinatumika kwa usafiri tu. Nina wazo la kuongeza kifaa kidogo ili hiyo hiyo pikipiki iweze kumpeleka mtu shambani na akakifunga tu pikpik ikawa pump ya umwagiliaji.

Najua kila mpenda kilimo anaelewa tuko dunia ya kilimo cha umwagiliaji. Ila pump ni ghali pia. Lakini unaweza kuwekeza na kushirikiana na sido na ukaambulia wengine kutengeneza hata hujarudisha pesa.

Je, naweza kudhibiti hiyo bidhaa nikasupply mimi mbunifu tu? Yani je aina hii ya ubunifu inaweza kupewa hadhi ya hatimiliki? Au ndo soko huria!
QUOT
Google wahindi washafanya kitambo pump za umwagiliaji kwa kutumia pikipiki.Sio kumwagilia tu inafanya kazi zote mfano kulima, kupalilia,kupuliza dawa,kupukuchua mahindi,kufua umeme,kukata nyasi,nk.
 
Washafanya wakenya hata wewe ndio ulipojua ilo then unakuja eti unawazo kakoje ulale
Wakenya wamekopi kwa wahindi wahindi wamekopi kwa wajapan.zile pikipiki zilizoitwa 110 za mabwana shamba enzi hizo ndizo maalumu kwa kazi hizo za shamba,kulimia,nk
 
Back
Top Bottom