Elections 2010 Naweza kutumia kalamu yangu kupiga kura?

Elections 2010 Naweza kutumia kalamu yangu kupiga kura?

Mwanamayu

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2010
Posts
11,662
Reaction score
6,888
Nimejitafiti na kugundua sijawahi kupiga kura kwenye uchaguzi mkuu Tanzania. Hivi naweza kutumia kalamu yangu kupiga kura? Je, kama naweza inatakiwa kuwa ya rangi gani? Au ilimradi niweke permanent mark/ tick kwenye karatasi?
 
Back
Top Bottom