Naweza kuwa nina mimba?

moniccca

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2015
Posts
2,383
Reaction score
3,285
Hbr za Leo wadau!
Nakia kichefuchefu, kizunguzungu, hasira, na udhaifu wa mwili.

Kwa dalili hizo ninaweza kuwa nimeshika mimba?

Simpendi mume wangu hata akinipigia simu nasikia hasira sipokei simu yake na ikitokea nimepokea namtukana.

Nisaidieni, je inaweza kuwa ni mimba au mapepo?

Nawasilisha kwa upole na unyenyekevu wa hali ya juu.
 
Nendo hospitali kapime au nunua kipimo kwenye duka la dawa jipime utajua.

Kama ni mapepo pia wahi kanisani kaombewe.
 
Dalili za mimba changa hizo mpendwa wangu moniccca

Anza kliniki mapema sana na haraka sana iwezekanavyo

Kila la kheli na hongera kwa mmeo kipenzi
 
NDOA YAKO IMEJIBU MONICCCA
 

Hongera Monica! Inaonesha vile zilivyokuwa zinakuunguza ndio zilikuwa zinaotesha mimbaπŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
 
Unaishije kwa kusadikika wakati hospital zipo? Si ukapime
 
Hizo ni dalili za kushika mimba, kingine subiri uone kama hutopata hedhi katika tarehe zako baada ya hapo Mchukue mumeo mkapime wote ili uconfirm kama a baby is coming.
 
siyo mimba mwaya!..usijali endelea kuleta utam hapa jukwaani bikra wetu uliyekiri kuacha uchan..g..u..doa!
 
nakuomba monicca usitoe mimba yangu mungu akileta mtoto analeta na gari lake zaa tuongeze magari
 
m
monicca huyo tena! duh kweli huyu ndio Monicca! ehe unamtukanaje huyo mume wako?
usilete mada nusu nusu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…