Naweza nisiwe Nabii ila wanaopingana na ukombozi wa Tanzania (Katiba mpya) wataondoka na kusaulika siku si nyingi

Naweza nisiwe Nabii ila wanaopingana na ukombozi wa Tanzania (Katiba mpya) wataondoka na kusaulika siku si nyingi

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Yawezekana waliopewa nafasi nakutuongoza kwa haki nakupewa nafasi yakuweka misingi ya haki na utawala wa sheria nchini wanaamini Wana muda mrefu wakula salary,posho na kutembelea mashangingi kupitia Kodi zetu.

Naamini Mwenyenzi Mungu alipowapa nafasi yakuosoma wakawa na mawazo mapana dhidi ya issue wanazokabidhiwa hakufanya kwa bahati mbaya. Alikuwa na kusudi la kuwafanya mawakala wa kusimamia misingi Bora nchini. Walipofanikiwa wamemsau na Sasa wanakesha wanamtumikia shetani kwa kuangalia namna yakumfurahisha mwanadamu na Mungu.

Nawakumbusha, kazi waliyotumwa kwa kupewa madaraka ni kuifanya Tanzania eneo sahihi lakumtukuza Mungu na siyo sehemu ya chuki, kukosa haki, usawa na kuabudu miungu ikiwemo wanadamu.

Ili kusudi lake muumba litimie lazima ataondoa taratibu wale wote wanaojua ukweli lakini wamesimama na shetani kutumia maarifa waliyopewa kusema uongo na kuwatumikia wanaowazunguka na familia zao. Upo wakati utafika hawataweza kusema ukweli Wala uongo maana muda wao wakumsaidia Muumba kufanya kazi utakuwa umekwisha na atakuwa ameinua wengine.

Niwaombe wazee na vijana mnaojua Hitaji la Tanzania ni na mnapotosha ,jisahihisheni. Muda wenu utapungua kadri kibri kinavyoongezeka. Wapo walioamini wanaweza kuua na kujiwekea watawala wapendavyo wao na si apendavyo Mungu. Wapo walioshangilia kuingia kwenye utawala kwa hila na mbinu chafu...niwaombe tunapowakumbuka wao na matendo yao tukumbuke ninyi ndio mnaofata na amtakwenda na chama Wala V8 wala chochote mtakwenda na maovu yenu.

Bora kuishi maskini ukamaliza mwendo kwa haki kuliko kuishi kifahari ukamaliza mwendo kwa fedhea
 
Uchawi umeanza tena!.

Katiba mpya ni hitaji la wanasiasa tena upinzani.
Watanzania wanahitaji kutatuliwa changamoto zao kuliko hilo la katiba
*elimu bora
*Huduma za afya
*Huduma za usafri
*Ajira kwa vijana
*Mishahara kwa watumishi
*namengineyo mengi

Ninyi wanasiasa mnacho kiangalia ni kuwa watawala kwa kuwafanya watanzania madaraja yenu ya kuvukia...

Watanzania tusikubali kwa watu wachache tena wapumbavu(sio tusi, rejea mithali kwenye biblia) kutufanya mpira wa danadana!.

Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki Afrika
 
Wepesi wa kusahau au kujitoa ufahamu? Ulikuwa hujazaliwa Mkapa alipofanya ubabe dhidi ya upinzani 1995 hadi 2005, ubabe ulioshuhudia Tanzania ikizalisha wakimbizi kwa mara ya kwanza? Ulikuwa hujazaliwa Tanzania Jk alipofanya ufisadi kuwa kama haki ya kikatiba 2005 hadi 2015? Ulikuwa umelala Magufuli alipoipeleka mputa Tanzania from 2015 hadi anafariki?

What did you people do? Mlipoambiwa na Mange muandamane mlijitokeza? Na Novemba mwaka jana Lissu alipowaomba muandamane mlijitokeza?

Ninyi ni hodari wa maneno kuliko vitendo. That aside, mnaunajisi mchakato wa katiba mpya kwa kuufanya ajenda ya kiitikadi badala ya suala la kitaifa.
 
Wepesi wa kusahau au kujitoa ufahamu? Ulikuwa hujazaliwa Mkapa alipofanya ubabe dhidi ya upinzani 1995 hadi 2005, ubabe ulioshuhudia Tanzania ikizalisha wakimbizi kwa mara ya kwanza? Ulikuwa hujazaliwa Tanzania Jk alipofanya ufisadi kuwa kama haki ya kikatiba 2005 hadi 2015? Ulikuwa umelala Magufuli alipoipeleka mputa Tanzania from 2015 hadi anafariki?

What did you people do? Mlipoambiwa na Mange muandamane mlijitokeza? Na Novemba mwaka jana Lissu alipowaomba muandamane mlijitokeza?

Ninyi ni hodari wa maneno kuliko vitendo. That aside, mnaunajisi mchakato wa katiba mpya kwa kuufanya ajenda ya kiitikadi badala ya suala la kitaifa.
Tell them.
 
Wepesi wa kusahau au kujitoa ufahamu? Ulikuwa hujazaliwa Mkapa alipofanya ubabe dhidi ya upinzani 1995 hadi 2005, ubabe ulioshuhudia Tanzania ikizalisha wakimbizi kwa mara ya kwanza? Ulikuwa hujazaliwa Tanzania Jk alipofanya ufisadi kuwa kama haki ya kikatiba 2005 hadi 2015? Ulikuwa umelala Magufuli alipoipeleka mputa Tanzania from 2015 hadi anafariki?

What did you people do? Mlipoambiwa na Mange muandamane mlijitokeza? Na Novemba mwaka jana Lissu alipowaomba muandamane mlijitokeza?

Ninyi ni hodari wa maneno kuliko vitendo. That aside, mnaunajisi mchakato wa katiba mpya kwa kuufanya ajenda ya kiitikadi badala ya suala la kitaifa.
Nadhani ujasoma ukaelewa, hakuna maandamano kwa Mungu. Hakuna kisasi Bali yeye kwa wakati wake atavuna wale wanaojithamini kuliko kuthamini aliyewapa uhai. Watapukutika na kusaulika bila hata wasio na hatia kuandamana.
 
Uchawi umeanza tena!.

Katiba mpya ni hitaji la wanasiasa tena upinzani.
Watanzania wanahitaji kutatuliwa changamoto zao kuliko hilo la katiba
*elimu bora
*Huduma za afya
*Huduma za usafri
*Ajira kwa vijana
*Mishahara kwa watumishi
*namengineyo mengi

Ninyi wanasiasa mnacho kiangalia ni kuwa watawala kwa kuwafanya watanzania madaraja yenu ya kuvukia...

Watanzania tusikubali kwa watu wachache tena wapumbavu(sio tusi, rejea mithali kwenye biblia) kutufanya mpira wa danadana!.

Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki Afrika
Miaka 60 ya uhuru bado unazungumzia elimu bora.Kama bado unaona kuna haja yakua na elimu bora maana yake waliopewa dhamana yakuliongoza hili taifa wameshindwa kifikra.Sasa kamwe usitegemee watakuletea hivyo vingine ulivyotaja wakati swala la elimu tu ambayo ndio msingi wa taifa lolote linalojitambua limewashinda kwa nusu karne.Kwahiyo wenye akili wanapozungumzia katiba mpya wanazungumzia kuweka upya misingi ya nchi ili hayo unayosumbuka kusema ni mahitaji ya wananchi yawe katika mizania na dhamira yautekelezaji kwa ufanisi na uhalisia.
 
Tupiganie katiba mpya kwa nguvu zetu zote.
 
Wepesi wa kusahau au kujitoa ufahamu? Ulikuwa hujazaliwa Mkapa alipofanya ubabe dhidi ya upinzani 1995 hadi 2005, ubabe ulioshuhudia Tanzania ikizalisha wakimbizi kwa mara ya kwanza? Ulikuwa hujazaliwa Tanzania Jk alipofanya ufisadi kuwa kama haki ya kikatiba 2005 hadi 2015? Ulikuwa umelala Magufuli alipoipeleka mputa Tanzania from 2015 hadi anafariki?

What did you people do? Mlipoambiwa na Mange muandamane mlijitokeza? Na Novemba mwaka jana Lissu alipowaomba muandamane mlijitokeza?

Ninyi ni hodari wa maneno kuliko vitendo. That aside, mnaunajisi mchakato wa katiba mpya kwa kuufanya ajenda ya kiitikadi badala ya suala la kitaifa.
Kwani brother wewe umeshawai kufanya vitendo gani vya maana vyakulisaidia ili taifa zaidi yakuandika tu porojo tena nyingi nizakulalamika kama wengine.jukumu lakulikomboa taifa nilakila mtu kwa nafasi aliyonayo.Hao wanasiasa wao wanatimiza wajibu wao nawewe timiza wajibu wako kama raia mwingine.

Makundi yote katika jamii yakitimiza wajibu wao ndipo sura yakitaifa itakapooneka.Na siku zote kwenye safari ya mabadiliko lazima kuwe na kundi linaloanzisha fikra za mabadiliko ili wengine wafwate na mabadiliko hayana muda maalum wala kanuni maalum itategemea tu na hali yakisiasa ya wakati huo na mahitaji.Kwahiyo badaya yakubeza kundi flani unapaswa uliunge mkono kwa namna yako na kama uwezi unakaa pembeni wanaoweza watafanya.
 
Katiba mpya ni hitaji la kila mwenye akili timamu kwa mfano kilichotokea bunge la bajeti kutupandishia bei ya mafuta kuliko nchi jirani zinazopitishia mafuta yao kwny bandari yetu ilipaswa hao wabunge wawajibishwe
 
Uchawi umeanza tena!.

Katiba mpya ni hitaji la wanasiasa tena upinzani.
Watanzania wanahitaji kutatuliwa changamoto zao kuliko hilo la katiba
*elimu bora
*Huduma za afya
*Huduma za usafri
*Ajira kwa vijana
*Mishahara kwa watumishi
*namengineyo mengi

Ninyi wanasiasa mnacho kiangalia ni kuwa watawala kwa kuwafanya watanzania madaraja yenu ya kuvukia...

Watanzania tusikubali kwa watu wachache tena wapumbavu(sio tusi, rejea mithali kwenye biblia) kutufanya mpira wa danadana!.

Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki Afrika
kwani nchi ndo imepata uhuru jana ccm mlikuwa mnatatua nini miaka yoye,unatatuaje changamoto kwenye katiba leglege wananchi tunataka katiba mpya,hatutaki katiba ambayo raisi anakuwa dikiteta hakuna la kumfanya hadi Mungu aingilie kati
 
Yawezekana waliopewa nafasi nakutuongoza kwa haki nakupewa nafasi yakuweka misingi ya haki na utawala wa sheria nchini wanaamini Wana muda mrefu wakula salary,posho na kutembelea mashangingi kupitia Kodi zetu.

Naamini Mwenyenzi Mungu alipowapa nafasi yakuosoma wakawa na mawazo mapana dhidi ya issue wanazokabidhiwa hakufanya kwa bahati mbaya. Alikuwa na kusudi la kuwafanya mawakala wa kusimamia misingi Bora nchini. Walipofanikiwa wamemsau na Sasa wanakesha wanamtumikia shetani kwa kuangalia namna yakumfurahisha mwanadamu na Mungu.

Nawakumbusha, kazi waliyotumwa kwa kupewa madaraka ni kuifanya Tanzania eneo sahihi lakumtukuza Mungu na siyo sehemu ya chuki, kukosa haki, usawa na kuabudu miungu ikiwemo wanadamu.

Ili kusudi lake muumba litimie lazima ataondoa taratibu wale wote wanaojua ukweli lakini wamesimama na shetani kutumia maarifa waliyopewa kusema uongo na kuwatumikia wanaowazunguka na familia zao. Upo wakati utafika hawataweza kusema ukweli Wala uongo maana muda wao wakumsaidia Muumba kufanya kazi utakuwa umekwisha na atakuwa ameinua wengine.

Niwaombe wazee na vijana mnaojua Hitaji la Tanzania ni na mnapotosha ,jisahihisheni. Muda wenu utapungua kadri kibri kinavyoongezeka. Wapo walioamini wanaweza kuua na kujiwekea watawala wapendavyo wao na si apendavyo Mungu. Wapo walioshangilia kuingia kwenye utawala kwa hila na mbinu chafu...niwaombe tunapowakumbuka wao na matendo yao tukumbuke ninyi ndio mnaofata na amtakwenda na chama Wala V8 wala chochote mtakwenda na maovu yenu.

Bora kuishi maskini ukamaliza mwendo kwa haki kuliko kuishi kifahari ukamaliza mwendo kwa fedhea
Nawasikitikia kina Mbowe, Lissu na wafuasi wao.
 
Back
Top Bottom