Naweza pataje pesa na gari kama hii?

Naweza pataje pesa na gari kama hii?

mkuu ni rahisi sana kama unakazi ya kudumu nenda bay port ikakope..
 
mkuu,kama bdo hujapata gari fanya hiv,nenda sehemu inaitwa tunduma kule mbeya hilo ni suala dogo sana kule watakusaidia.

Aje huku tumpe mahindi yake punje 6 kuku adonoe apate utajiri wake wa miaka 6
 
Mtafute Alkharous (Yule Malkia wa Nyuki wa Simba)akupeleke Dubai utarudi na ela ya kununua iyo Gari na chenji itabaki
 
Back
Top Bottom