Nawezaje kuagiza laptop kwa ajili ya kuuza, ni masoko Gani ambayo ni Bora

Nawezaje kuagiza laptop kwa ajili ya kuuza, ni masoko Gani ambayo ni Bora

OgaBoy

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2022
Posts
1,531
Reaction score
2,140
Ndio msaada wa jambo Hilo sihitaji kusafiri kwenda huko ikiwa Kuna mbadala tujuzane
 
Ndio msaada wa jambo Hilo sihitaji kusafiri kwenda huko ikiwa Kuna mbadala tujuzane
Ngoja wenye uzoefu waje
Ingia alibaba,

Chukua mzigo mkubwa angala kuanzia 100pcs

Safirisha kwa meli.

Faida nikubwa. Sababu kila laptop moja utaiuza mara mbili ya ghrama utakayotumia .
Nawezaje kuagiza laptop kwa ajili ya kuuza, ni masoko Gani ambayo ni Bora,
1735089691526.png

//
1735089734115.png

=
1735089776972.png

 
Ingia alibaba,

Chukua mzigo mkubwa angala kuanzia 100pcs

Safirisha kwa meli.

Faida nikubwa. Sababu kila laptop moja utaiuza mara mbili ya ghrama utakayotumia .

View attachment 3184398
//
View attachment 3184399
=
View attachment 3184400
Laptop 100 mpaka kunifikia inaweza gharim kiasi gani?

Laptop za uwezo wa kawaida kuanzia gen 7 ,... Core i3 na kuendelea
 
Ndio msaada wa jambo Hilo sihitaji kusafiri kwenda huko ikiwa Kuna mbadala tujuzane

Mfanya biashara makini: Hawezi uliza:

  • Upatikanaji wa bidhaa.
  • upatikanaji wa Masoko

Ukitaka kuingia kwenye hiashara lazima Uwe na ujuzi wa Soko vizuri ndo confidence ya kuanza biashara, swali unaloweza kuuliza ni upatikanaji wa bidhaa!
 
Mfanya biashara makini: Hawezi uliza:

  • Upatikanaji wa bidhaa.
  • upatikanaji wa Masoko

Ukitaka kuingia kwenye hiashara lazima Uwe na ujuzi wa Soko vizuri ndo confidence ya kuanza biashara, swali unaloweza kuuliza ni upatikanaji wa bidhaa!
Mkuu umeelewa nilichouliza nimeuliza masoko mazuri ya bidhaa ili nikanunie na sio masoko ya mimi kuuza mimi nauza simu, lakini sijawahi kuagiza mwenyewe. Nachukua kutoka kwa wauzaji wa humu humu .



Hivyo nilitaka kutanua hii business ijumuhishe vitu hivyo
 
Mkuu umeelewa nilichouliza nimeuliza masoko mazuri ya bidhaa ili nikanunie na sio masoko ya mimi kuuza mimi nauza simu, lakini sijawahi kuagiza mwenyewe. Nachukua kutoka kwa wauzaji wa humu humu .



Hivyo nilitaka kutanua hii business ijumuhishe vitu hivyo

Kumradhi, sikukuelewa
 
Mkuu umeelewa nilichouliza nimeuliza masoko mazuri ya bidhaa ili nikanunie na sio masoko ya mimi kuuza mimi nauza simu, lakini sijawahi kuagiza mwenyewe. Nachukua kutoka kwa wauzaji wa humu humu .



Hivyo nilitaka kutanua hii business ijumuhishe vitu hivyo
Kama unanunua humuhumu af ujamtaji mkubwa umefeli bro, pata elimu ya kuagiza nje.. mimi nilichukua miezi sita kuijua lkn nilianza kwa majaribio ila now ninauzoefu, japo sio mkubwa ila niliagiza vifaa 3 times na vimenifikia,kama una soko zuri utapata faida sanaa.
 
Kama unanunua humuhumu af ujamtaji mkubwa umefeli bro, pata elimu ya kuagiza nje.. mimi nilichukua miezi sita kuijua lkn nilianza kwa majaribio ila now ninauzoefu, japo sio mkubwa ila niliagiza vifaa 3 times na vimenifikia,kama una soko zuri utapata faida sanaa.
Unaweza kutusaidia uzoefu wako kwa noqba ya wengine
 
Back
Top Bottom