Mzalendowadamu
JF-Expert Member
- Jul 10, 2016
- 218
- 318
Salamu kwa wote.
Nimeingia katika mitandao maarufu ya kununulia magari toka nje kama bforward na sbtjapan. lengo langu ilikua kuangalia bei ya gari kubwa kama Scania lakini sijaona magari hayo.
Ninaomba kwa yeyote anaye jua mtandao wa kununulia magari(Scania) anifahamishae. Huwa nasikia watu wanaagiza Scania au Fuso toka nje lakini bado sijajua wanatumia njia gani na nchi gani wanatoa magari hayo.
Kama unajua njia yoyote ya kuagiza magari makubwa (heavy vehicle) tafadhali nielimishe, pia kama unajua wapi wana nafuu ya bei nisaidieni kujua. Natanguliza shukurani nyingi. ASANTENI
Nimeingia katika mitandao maarufu ya kununulia magari toka nje kama bforward na sbtjapan. lengo langu ilikua kuangalia bei ya gari kubwa kama Scania lakini sijaona magari hayo.
Ninaomba kwa yeyote anaye jua mtandao wa kununulia magari(Scania) anifahamishae. Huwa nasikia watu wanaagiza Scania au Fuso toka nje lakini bado sijajua wanatumia njia gani na nchi gani wanatoa magari hayo.
Kama unajua njia yoyote ya kuagiza magari makubwa (heavy vehicle) tafadhali nielimishe, pia kama unajua wapi wana nafuu ya bei nisaidieni kujua. Natanguliza shukurani nyingi. ASANTENI