Nawezaje Kuanza biashara hii ya kununua zao la mpunga kuweka store na kuuza wakati thamani ikiwa juu

Nawezaje Kuanza biashara hii ya kununua zao la mpunga kuweka store na kuuza wakati thamani ikiwa juu

Mr castan

Member
Joined
Feb 15, 2021
Posts
10
Reaction score
16
Nipo Dar-es-salaam
Nahitaji KUWA broker wa mpunga ..
Kununua mazao ya mpunga kati ya morogoro au mbeya.

Nahitaji kupata mchanganuo nawezaje Kuanza biasharaa hii ya kununua zao la mpunga kuweka store na kuuza wakati thamani ikiwa juu.

NAHITAJI KUFAHAMU
  • Mtaji wa gunia 100?
  • Gharama za uhifadhi?
  • Muda unaoweza kupanda thamani kwa gunia?
  • Changamoto za uhifadhi?
  • Nawezaje kupata hasara katika nyanja za kisiasa na kimazingira?
  • Gharama za usafirishaji kwenda soko la dar es salaam?
  • Mkoa upi unashauriwa morogoro/mbeya?
  • bora kuwa broker(middle men) au kulima?

Mwenye uelewa wowote kati ya hayo au anaefanya shughuli hii anipatie ufafanuzi
 
Inawezekana kabisa kufanya biashara hii, manunuzi gunia 1 sh50000~60000 kwa mujibu wa mgongola morogoro, kuhifadhi gunia 1 ah 5000, hakuna gharama ya ziada, kusafirisha ina tegemea eneo unalo kwenda sii juu ya sh10,000 kwa gunia, Kuhusu siasa kuingilia biashara sii jambo ninalofaam Sana, ila kipindi kizuri cha kuuza mzigo mwezi wa pili mpaka wa 4 mwanzoni bei za kipindi hicho huanzia 90000 mpaka 120000.

Hasara kwenye zao hili uchangiwa na tamaa, siri no 1 usikoboe 2 usizidishe miezi ya kuuza 3 kwenye upimaji katika manunuzi uwe na mtaalam alie bobea kwenye upimaji 4 usinunue wewe kama wewe mtumie mtu kama mimi nili mtumia mtu mmoja anaitwa juma kiaule haja soma ila anaujua mounts mpaka kero 5 usiwe mbishi na msumbufu hii itakucheleweshea muda na hasara ya pesa.

Kwa hayo ni dondoo za haraka haraka, NB:Maeneo ya kuhifadhi mpunga yapo mengi mfano hukohuko turiani kuna kwa mama jikas, ana ghala kubwa sana pia moro town zipo ghala za kukodi kama simba road nk, Ila kama utapenda karibu moro nita weza kukufanyisha hio tafiti kabla ya muda wa kununua ila kwa gharama zako.
 
Inawezekana kabisa kufanya biashara hii, manunuzi gunia 1 sh50000~60000 kwa mujibu wa mgongola morogoro, kuhifadhi gunia 1 ah 5000, hakuna gharama ya ziada, kusafirisha ina tegemea eneo unalo kwenda sii juu ya sh10,000 kwa gunia, Kuhusu siasa kuingilia biashara sii jambo ninalofaam Sana, ila kipindi kizuri cha kuuza mzigo mwezi wa pili mpaka wa 4 mwanzoni bei za kipindi hicho huanzia 90000 mpaka 120000.hasara kwenye zao hili uchangiwa na tamaa, siri no 1 usikoboe 2 usizidishe miezi ya kuuza 3 kwenye upimaji katika manunuzi uwe na mtaalam alie bobea kwenye upimaji 4 usinunue wewe kama wewe mtumie mtu kama mimi nili mtumia mtu mmoja anaitwa juma kiaule haja soma ila anaujua mounts mpaka kero 5 usiwe mbishi na msumbufu hii itakucheleweshea muda na hasara ya pesa. Kwa hayo ni dondoo za haraka haraka, NB:Maeneo ya kuhifadhi mpunga yapo mengi mfano hukohuko turiani kuna kwa mama jikas, ana ghala kubwa sana pia moro town zipo ghala za kukodi kama simba road nk, Ila kama utapenda karibu moro nita weza kukufanyisha hio tafiti kabla ya muda wa kununua ila kwa gharama zako.
Asante boss ntazingatia na kukutafuta unipe uyo mtaalam zaidii
 
Nipo Dar-es-salaam
Nahitaji KUWA broker wa mpunga ..
Kununua mazao ya mpunga kati ya morogoro au mbeya.

Nahitaji kupata mchanganuo nawezaje Kuanza biasharaa hii ya kununua zao la mpunga kuweka store na kuuza wakati thamani ikiwa juu.

NAHITAJI KUFAHAMU
  • Mtaji wa gunia 100?
  • Gharama za uhifadhi?
  • Muda unaoweza kupanda thamani kwa gunia?
  • Changamoto za uhifadhi?
  • Nawezaje kupata hasara katika nyanja za kisiasa na kimazingira?
  • Gharama za usafirishaji kwenda soko la dar es salaam?
  • Mkoa upi unashauriwa morogoro/mbeya?
  • bora kuwa broker(middle men) au kulima?

Mwenye uelewa wowote kati ya hayo au anaefanya shughuli hii anipatie ufafanuzi
Nipo mbeya Mbarali ni PM namba ya simu kwa maelezo hakika
 
Nipo mbeya Mbarali ni PM namba ya simu kwa maelezo hakika
Mkuu naamini kuna wengine wanahitaji taarifa hizi, ungeandika hapa ungetusaidia sana kupata taarifa za kinachojiri huko. Bila shaka unaoongelea maeneo ya Usangu, tafadhali Mimi naomba nisaidie kujua Bei ya gunia la mpunga kwa sasahivi
 
Inawezekana kabisa kufanya biashara hii, manunuzi gunia 1 sh50000~60000 kwa mujibu wa mgongola morogoro, kuhifadhi gunia 1 ah 5000, hakuna gharama ya ziada, kusafirisha ina tegemea eneo unalo kwenda sii juu ya sh10,000 kwa gunia, Kuhusu siasa kuingilia biashara sii jambo ninalofaam Sana, ila kipindi kizuri cha kuuza mzigo mwezi wa pili mpaka wa 4 mwanzoni bei za kipindi hicho huanzia 90000 mpaka 120000.

Hasara kwenye zao hili uchangiwa na tamaa, siri no 1 usikoboe 2 usizidishe miezi ya kuuza 3 kwenye upimaji katika manunuzi uwe na mtaalam alie bobea kwenye upimaji 4 usinunue wewe kama wewe mtumie mtu kama mimi nili mtumia mtu mmoja anaitwa juma kiaule haja soma ila anaujua mounts mpaka kero 5 usiwe mbishi na msumbufu hii itakucheleweshea muda na hasara ya pesa.

Kwa hayo ni dondoo za haraka haraka, NB:Maeneo ya kuhifadhi mpunga yapo mengi mfano hukohuko turiani kuna kwa mama jikas, ana ghala kubwa sana pia moro town zipo ghala za kukodi kama simba road nk, Ila kama utapenda karibu moro nita weza kukufanyisha hio tafiti kabla ya muda wa kununua ila kwa gharama zako.
Mm pia nataka iyo Kama vp niwekee namba zako tuwasiliane
 
Kama una 40M+ jenga mashine ya kukoboa mpunga kahama; wakulima watakuwa wanaleta mazao yao, na utakuwa unauza kwa jumla kwa wafanyabiashara wa nchi jirani.​
 
Back
Top Bottom