nenda brela,sajili kampuni,pata leseni. weka mabango ya matangazo.tengeneza website.faster unaanza biashara
1-zingatia muda wa wateja wako,waambie gharama zako ktk lugha rahisi
2-kama unaelimu ya juu, lenga wateja wa daraja la juu ,maeneo ya masaki,mwenge,mikocheni ,sinza na kinondoni.
3-ingia ubia/Affiliation na makampuni ya aina hiyo kutoka nje ya nchi e.g south Africa,nairobi ,EU.
4-jitangaze online,katika NGO's international,ukielenga short stay expats and finally your word should be a guarantee.
Angalizo :usitumie neno DALALI. bora utumie estate Agent or wakala wa majengo.
usitoze gharama ya kuangalia nyumba kama mteja hajapata nyumba anayopenda.
i wish you all the best in your endeavours