D Dorothy Mllanga New Member Joined Apr 19, 2018 Posts 1 Reaction score 0 May 8, 2018 #1 Kama mjasiriamali mdogo?
BABA TUPAC JF-Expert Member Joined Sep 30, 2015 Posts 1,527 Reaction score 3,811 May 8, 2018 #2 Habari Dorothy, tafadhali fafanua zaidi kitu unachokitaka. Soko la kimataifa kivipi? kununua au kuuza? uliposema kalikawe una maana gani? hivyo vitambaa ni vya aina gani? jieleze vizuri utapewa msaada zaidi
Habari Dorothy, tafadhali fafanua zaidi kitu unachokitaka. Soko la kimataifa kivipi? kununua au kuuza? uliposema kalikawe una maana gani? hivyo vitambaa ni vya aina gani? jieleze vizuri utapewa msaada zaidi