Nawezaje kuback up WhatsApp messages&call

George Barran

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2015
Posts
647
Reaction score
1,268
Nahitaji msaada ni jinsi gani naweza kurudisha message na call zilizofutwa kwenye simu yangu

Msaada tafadhali nitrate hatua zipi
 
Kama hukufanya back up, hakuna namna.

Au kama uli switch simu let say, ulikuwa unatumia Android na ukaenda iOS au OS ingine.

Cha kufanya rudi kwenye OS ya zamani, weka WhatsApp humo kisha kisha kuna tools professional za kuhamisha data za WhatsApp kutoka cloud tofauti. Maana Android wao wanatumia Gdrive na iOS wanatumia iCloud.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…