Wasalaam great people
Ladies and gentlemen
Kuishi kwingi kuona mengi. Hakika tunaishi katika dunia amabayo tunaanza kuona watu wenye vipaji au hobbies zoa wanazigeuza kuwa biashara na hakika baadhi yao wanatoka kimaisha.
Leo tuna wanamziki, wacheza mpira, wachoraji na hata wana mitindo maalufu na wanaongoza familia zao kwa matunda ya vipaji vyao.
Kwa muda mrefu, niwe nimelala, niwe natembea, niwe ofsini na pengine hata nikiwa kanisani , kitu ambacho huwa kinakuja kwenye mind yangu ni UPENDO
Napenda kuona watu wanapendana, napenda kuona watu wanafanya matendo ya hisani kwa jamii za wahitaji, napenda kuona watu wanasameheana na kumaliza changamoto zao, napenda kuona tabasamu katika nyuso za wengi, napenda kuona kujaliana na mashirikiano baina ya watu na hata vikundi. Kifupi matendo yote ya upendo yametawala Ufahamu wangu
Kwa mkutadha huo najitokeza kwenye ukurasa huu ili nipate mchango wa mawazo ni kwa jinsi gani naweza geuza hobby hii ya kupenda Upendo utawale kuwa business idea?
Nataka utashi huu wa ndani na hulka iliyokwisha jengeka ndani yangu kuwa wazo la kibiashara ili linisaidie kufanikisha maisha yangu, coz najua Mungu hajanipa mguso huu wa tofauti ili niukalie tu pasina kutumika.
Kwa heshima ya forum, hii ambapo najua sitotoka bila mawazo chanya, hivyo natanguliza acknowledge zangu
Regards
Ladies and gentlemen
Kuishi kwingi kuona mengi. Hakika tunaishi katika dunia amabayo tunaanza kuona watu wenye vipaji au hobbies zoa wanazigeuza kuwa biashara na hakika baadhi yao wanatoka kimaisha.
Leo tuna wanamziki, wacheza mpira, wachoraji na hata wana mitindo maalufu na wanaongoza familia zao kwa matunda ya vipaji vyao.
Kwa muda mrefu, niwe nimelala, niwe natembea, niwe ofsini na pengine hata nikiwa kanisani , kitu ambacho huwa kinakuja kwenye mind yangu ni UPENDO
Napenda kuona watu wanapendana, napenda kuona watu wanafanya matendo ya hisani kwa jamii za wahitaji, napenda kuona watu wanasameheana na kumaliza changamoto zao, napenda kuona tabasamu katika nyuso za wengi, napenda kuona kujaliana na mashirikiano baina ya watu na hata vikundi. Kifupi matendo yote ya upendo yametawala Ufahamu wangu
Kwa mkutadha huo najitokeza kwenye ukurasa huu ili nipate mchango wa mawazo ni kwa jinsi gani naweza geuza hobby hii ya kupenda Upendo utawale kuwa business idea?
Nataka utashi huu wa ndani na hulka iliyokwisha jengeka ndani yangu kuwa wazo la kibiashara ili linisaidie kufanikisha maisha yangu, coz najua Mungu hajanipa mguso huu wa tofauti ili niukalie tu pasina kutumika.
Kwa heshima ya forum, hii ambapo najua sitotoka bila mawazo chanya, hivyo natanguliza acknowledge zangu
Regards