Nawezaje kubaini 'Kadi feki' ya vyombo vya Moto

Nawezaje kubaini 'Kadi feki' ya vyombo vya Moto

FredMaria

Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
53
Reaction score
55
Habar wana JF.

Kulingana na wizi uliokithiri katika jamii zetu imenivutia kutaka kujua je KADI FEKI za vyombo vya Moto hususa Ni Pikipiki utazifaham vp..?!! Kuna fununu kadhaa watu wanadai wezi wa Pikipiki Wana connection kubwa na watu wanaotengeneza Kadi hizo..

Suala la kununua pikipiki Used Dar hasa kwa watu wa mikoani linashika nafasi Sana ila hofu ni utajuaje Kama mali uliyonunua Ni halali Ingawa ina documents zote muhimu za chombo hicho.

Ni kwa Dar ambako inaonekana wengi wanatekwa wengine wanauawa na pikipiki zao zinabadilishwa Usajili Pamoja na kutengenezwa Nakala ya Kadi ya Pikipiki hiyo..

Nina balance ya 1 mil nahitaji boxer ya Mo ila Shaka yangu ni juu ya kubambikiwa kadi Copy..

Msaada katika Hilo wana Jf.
 
Suala la kununua pikipiki Used Dar hasa kwa watu wa mikoani linashika nafasi Sana ila hofu ni utajuaje Kama mali uliyonunua Ni halali Ingawa ina documents zote muhimu za chombo hicho...
- Njia pekee ni kuomba copy kwanza ya hicho chombo unataka kununua.
- Kisha nenda kahakiki umiliki wa hiko chombo TRA. Ndipo swala la biashara na mauziano lifanyika baada ya kuwa tayari unahakika kuwa anayekuuzia ndio mmiliki sahihi.

Nje ya utaratibu huu wa kwenda kuhakiki, hapo ni kujitafutia matatizo, kama ulivyo bainisha hatari iliyopo.

Kila lakheri ndugu
 
- Njia pekee ni kuomba copy kwanza ya hicho chombo unataka kununua.
- Kisha nenda kahakiki umiliki wa hiko chombo TRA. Ndipo swala la biashara na mauziano lifanyika baada ya kuwa tayari unahakika kuwa anayekuuzia ndio mmiliki sahihi.

Nje ya utaratibu huu wa kwenda kuhakiki, hapo ni kujitafutia matatizo, kama ulivyo bainisha hatari iliyopo.

Kila lakheri ndugu
Shukrani Sana mkuu nafkiri hio ndo njia sahihi..🤝
 
Shukrani Sana mkuu nafkiri hio ndo njia sahihi..🤝
Pia hakikisha anayekuuzia
- Mannandikishiana mkataba.
- Akupatie nakala ya kitambulisho chake sambamba na kadi husika.
Hizo documents zitahitajika pindi utakapokuwa unataka kubadili umiliki wa chombo na kadi iwe katika jina lako.
 
Huko mikoani sina uhakika kama kitengo cha Investigation Bureau TRA kipo.

Wangekusaidia sana.
 
Pia hakikisha anayekuuzia
- Mannandikishiana mkataba.
- Akupatie nakala ya kitambulisho chake sambamba na kadi husika.
Hizo documents zitahitajika pindi utakapokuwa unataka kubadili umiliki wa chombo na kadi iwe katika jina lako.
Sawa saw kiongoz bila Shaka hakutakuwa na Shaka Tena juu ya hili... Advanced clarification be blessed
Huko mikoani sina uhakika kama kitengo cha Investigation Bureau TRA kipo.

Wangekusaidia sana.
Naifuata Dar kisha naileta mwnza mkuu..Kwaio taratibu zote zitafanyika Dar
 
Back
Top Bottom