Nawezaje kuchukua uhamisho wa mtoto wa Kidato cha Tano?

Nawezaje kuchukua uhamisho wa mtoto wa Kidato cha Tano?

Dimah _Denis

New Member
Joined
Mar 8, 2024
Posts
1
Reaction score
2
Wakuu nilikuwa naomba kusaidiwa kwa wale wenye uzoefu.

Wote tunafahamu kuwa selection za kidato Cha tano zimetoka; ila nilikuwa nataka kuichukua uhamisho kwa mwanangu.

Kila nikimpigia Mkuu wa Shule nyingine anasema mpaka waripoti ndo wajue utaratibu.

Shule ina HKL ila yeye anataka yeyote yenye Economics.

Naombeni mnipe mawazo ili nichukue transfer kwa muda mfupi
 
Wakuu nilikuwa naomba kusaidiwa kwa wale wenye uzoefu.

Wote tunafahamu kuwa selection za kidato Cha tano zimetoka; ila nilikuwa nataka kuichukua uhamisho kwa mwanangu.

Kila nikimpigia Mkuu wa Shule nyingine anasema mpaka waripoti ndo wajue utaratibu.

Shule ina HKL ila yeye anataka yeyote yenye Economics.

Naombeni mnipe mawazo ili nichukue transfer kwa muda mfupi
Jaribu kupitia hapa
 
Wakuu nilikuwa naomba kusaidiwa kwa wale wenye uzoefu.

Wote tunafahamu kuwa selection za kidato Cha tano zimetoka; ila nilikuwa nataka kuichukua uhamisho kwa mwanangu.

Kila nikimpigia Mkuu wa Shule nyingine anasema mpaka waripoti ndo wajue utaratibu.

Shule ina HKL ila yeye anataka yeyote yenye Economics.

Naombeni mnipe mawazo ili nichukue transfer kwa muda mfupi
Niliona taarifa yao kutokea tamisemi inayosema wanafunzi wanaotaka kuhama shule ama mchepuo walipoti shuleni walikopangiwa,kisha baada ya wiki mbili ama tatu ndio wanaweza kuomba uhamisho ama kubadilisha mchepuo uliopangiwa
 
Back
Top Bottom