Nawezaje kuenable disabled network bands kwenye android Engineer Mode?

Heavy User

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2020
Posts
1,047
Reaction score
1,903
Angalia picha, hiyo ni Band Mode option kwenye setting ya Engineer Mode ya simu za android , nataka kutick baadhi ya bands lakini siwezi kwakuwa zimelokiwa.
Je, kuna namna ya kuzifungua ili niweze kuzitiki?
 
Mkuu si kila simu ina uwezo wa kubadili band maana band ni hardware na si software, unaweza badili Band pale tu ikiwa simu ina hardware ya Hizo band lakini manufacture kaaamua kuzifunga kimakusudi, mfano simu zinazouzwa kwenye mitandao kama T-mobile.

Hivyo vyema ufahamu model ya simu, kisha ujue soc yake, kisha uangalie hio soc imewahi tumika kwenye band unayotaka ku activate?
 
Nashukuru kwa ufafanuzi Mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…