tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 21,329
- 28,063
Wakuu nawasalimu kwa jina la mwenyezi Mungu (Allah). Kijana na mtoto wenu nimeamua kuanza ku-save(kutunza) fedha at least kwa mwezi 200,000 ili kwa miaka 4 nipate ka fedha ka kununua usafiri.
Ushauri ninaoomba ni je, nitawezaje kulifanikisha hili kwa ufanisi?
Najua humu kuna wakubwa zangu wanajua mbinu na namna nyingiii za utunzaji na kujichangacha.
Asanteni
Ushauri ninaoomba ni je, nitawezaje kulifanikisha hili kwa ufanisi?
Najua humu kuna wakubwa zangu wanajua mbinu na namna nyingiii za utunzaji na kujichangacha.
Asanteni