Aprils hero New Member Joined Jul 11, 2021 Posts 1 Reaction score 1 Jul 23, 2024 #1 Samahanini asee, Nawezaje kufanya application katika colleges za ualimu mm niliyehutimu kidato cha nne? Process zinakuwaje
Samahanini asee, Nawezaje kufanya application katika colleges za ualimu mm niliyehutimu kidato cha nne? Process zinakuwaje
kipanga85 JF-Expert Member Joined Apr 15, 2024 Posts 2,459 Reaction score 6,466 Jul 24, 2024 #2 ingia kwenye wavuti za vyuo unavyotaka kuapply
Cobrahypnosis JF-Expert Member Joined Jul 28, 2021 Posts 362 Reaction score 676 Jul 26, 2024 #3 Aprils hero said: Samahanini asee, Nawezaje kufanya application katika colleges za ualimu mm niliyehutimu kidato cha nne? Process zinakuwaje Click to expand... Habari. Kwasasa huna sifa za kusomea diploma ya ualimu wa shule za msingi. Kwa mujibu wa miongozo mipya ili mtu asomee diploma ya ualimu ni lazima awe muhitimu wa kidato cha sita kuanzia ufaulu wa division 1 mpaka 3 na kupata principal pass mbili.
Aprils hero said: Samahanini asee, Nawezaje kufanya application katika colleges za ualimu mm niliyehutimu kidato cha nne? Process zinakuwaje Click to expand... Habari. Kwasasa huna sifa za kusomea diploma ya ualimu wa shule za msingi. Kwa mujibu wa miongozo mipya ili mtu asomee diploma ya ualimu ni lazima awe muhitimu wa kidato cha sita kuanzia ufaulu wa division 1 mpaka 3 na kupata principal pass mbili.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Jul 26, 2024 #4 Ngoja waje kukupa muongozo... Cc: Mahondaw