Katafute viwanja nyashishi unaweza kupata kiwanja cha 3m ukajenga lakini lazima ubane sana mafundi walau uezekeWadau wa JF habari za majukumu.
Wadau naomba ushauri Kwa sasa nimechoka kupanga na kulipa tsh 600k per year kama Kodi ya chumba.
Nipo Mwanza Nina cash tsh.13M tu naweza pata plot ya tsh 3M hata pembeni ya mji afu 10M nijenge chumba na sebure ya kawaida tu sitaki mambo mengi.
Nb. Naomba nisishauriwe kuhusu kuwekeza kwenye biashara, kila mtu na malengo yake.
Mbona hela nyingi sana, mwz viwanja bei ndogo sana 30 utapata 20×20Wadau wa JF habari za majukumu.
Wadau naomba ushauri Kwa sasa nimechoka kupanga na kulipa tsh 600k per year kama Kodi ya chumba.
Nipo Mwanza Nina cash tsh.13M tu naweza pata plot ya tsh 3M hata pembeni ya mji afu 10M nijenge chumba na sebure ya kawaida tu sitaki mambo mengi.
Nb. Naomba nisishauriwe kuhusu kuwekeza kwenye biashara, kila mtu na malengo yake.
Mahina nyegez luchelele usagara igoma kisesa nk.Mfano maeneo Gani tapata Kwa hiyo 3M
Safi San, Ujenz wa mkoani Raha Sana[emoji4]Mkuu hiyo mbona kubwa sana,Mimi Niko kwenye ujenzi wa nyumba yangu ya vyumba 3 na sebure,Niko level ya msingi hadi sasa lakini sitegemei pesa ya kukamilisha ifike huko,maana tofari nimenunua za kuchoma,ziko tofari 5,000 kwa thamani ya 1,400,000 jumla na usafiri,gharama za msingi kusomba mawe pamoja na fundi ni sh 1,300,000,fundi wa boma ni sh400,000,,bati zinatakiwa 72 gharama take ni sh 1,584,000,mbao za kupaulia ni sh 500,000 fundi wakupaua ni sh 250,000 kwahiyo hadi kupaua bila finishing nahitaji jumla ni sh 5,434,000,uzuri site yangu maji yako karibu sana,ramani yangu hui hapa,
Tofal moja umenunua bei ganMkuu hiyo mbona kubwa sana,Mimi Niko kwenye ujenzi wa nyumba yangu ya vyumba 3 na sebure,Niko level ya msingi hadi sasa lakini sitegemei pesa ya kukamilisha ifike huko,maana tofari nimenunua za kuchoma,ziko tofari 5,000 kwa thamani ya 1,400,000 jumla na usafiri,gharama za msingi kusomba mawe pamoja na fundi ni sh 1,300,000,fundi wa boma ni sh400,000,,bati zinatakiwa 72 gharama take ni sh 1,584,000,mbao za kupaulia ni sh 500,000 fundi wakupaua ni sh 250,000 kwahiyo hadi kupaua bila finishing nahitaji jumla ni sh 5,434,000,uzuri site yangu maji yako karibu sana,ramani yangu hui hapa,
hivyo sio vya kuzungumzia nondo kwani ni ghorofa unajenga mwz kokoto hata za ndoo unapata... mawe ukikomaa manywewe unajaza trip mwanza sio ya kuwaza hayosijasikia nondo, cement ,kokoto, mawe
Sh 250 ni tofari 5000Tofal moja umenunua bei gan
Skia dogo janja tafuta shamba hata kwa 2m alafu chimba handaki zuri ambalo halitakula hata 5m alafu hizo 6m kula bata maisha ndo haya haya ukifa wakuzike kwenye handaki lako mambo yameishaWadau wa JF habari za majukumu.
Wadau naomba ushauri, kwa sasa nimechoka kupanga na kulipa Tsh. laki 6 per year kama kodi ya chumba.
Nipo Mwanza, nina cash Tsh. 13M tu naweza pata plot ya Tsh. 3M hata pembeni ya mji afu 10M nijenge chumba na sebule ya kawaida tu sitaki mambo mengi.
NB: Naomba nisishauriwe kuhusu kuwekeza kwenye biashara, kila mtu na malengo yake.
Cheki na huyu mshkaji yupo mwanza, alipost nyumba yake ya 10 mil kubwa balaaWadau wa JF habari za majukumu.
Wadau naomba ushauri, kwa sasa nimechoka kupanga na kulipa Tsh. laki 6 per year kama kodi ya chumba.
Nipo Mwanza, nina cash Tsh. 13M tu naweza pata plot ya Tsh. 3M hata pembeni ya mji afu 10M nijenge chumba na sebule ya kawaida tu sitaki mambo mengi.
NB: Naomba nisishauriwe kuhusu kuwekeza kwenye biashara, kila mtu na malengo yake.
Cheki na huyu mshkaji yupo mwanza, alipost nyumba yake ya 10 mil kubwa balaa