Nawezaje kuishi katika dunia iliyochanganyikiwa?

Nawezaje kuishi katika dunia iliyochanganyikiwa?

Pantosha

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
640
Reaction score
958
65163DE7-F6B6-4B99-AD9A-E9BE343D18E5.png


Ukifuatilia historia ya dunia utaona bila shaka kuwa Walimwengu wamechanyikiwa siku zote. Vita kila kona ya dunia, mauwaji, majanga, visa vya kutisha, uchafuzi wa hali ya hewa na mazingira, wizi na mengineyo.

Kuishi katika dunia ya namna hii inahitaji uwe na ufahamu wa aina yake. Uwe na uwezo wa kujitengenezea furaha hata kama mambo hayaendi unavyotaka.
 
View attachment 2781427

Ukifuatilia historia ya dunia utaona bila shaka kuwa Walimwengu wamechanyikiwa siku zote. Vita kila kona ya dunia, mauwaji, majanga, visa vya kutisha, uchafuzi wa hali ya hewa na mazingira, wizi na mengineyo.

Kuishi katika dunia ya namna hii inahitaji uwe na ufahamu wa aina yake. Uwe na uwezo wa kujitengenezea furaha hata kama mambo hayaendi unavyotaka.
Trust in God.
 
View attachment 2781427

Ukifuatilia historia ya dunia utaona bila shaka kuwa Walimwengu wamechanyikiwa siku zote. Vita kila kona ya dunia, mauwaji, majanga, visa vya kutisha, uchafuzi wa hali ya hewa na mazingira, wizi na mengineyo.

Kuishi katika dunia ya namna hii inahitaji uwe na ufahamu wa aina yake. Uwe na uwezo wa kujitengenezea furaha hata kama mambo hayaendi unavyotaka.
Tunazaa watoto Ili nao waje wateseke kama tunavyoteseka....ajabu sana
 
Maskini mwanadamu,ndiyo umekosa huruma na utu kias hiki?
Utu unaanzia nyumbani hapahapa Tz kuna watu wanakosa chakula cha siku,wanakufa kukosa matibabu,uongoz mbaya fisad anapiga 1b huku raia hawana chakula,.....jk
Mambo Ya Gaza tuwachie Hama's........
 
Mungu gani waku Trust, Anayeacha watoto wadogo wasio na hatia yeyote wateseke?

Mungu huyo hayupo.

You are trusting illusion.
Wapi alisema duniani ni sehemu ya bata hakuna matatizo ?

Ni sawa leo ulalamike rafu kwenye mchezo wa soka wakati rafu ndio sehemu ya mchezo wenyewe.
 
Back
Top Bottom