Nawezaje Kujizuia ili Nisiwe Na Wivu????

Penda kuwa cul usimuoneshe kuwa una mawivu coz huwa wanacheka na kujisikia raha sana.Kila mtu ana wivu haswa mukiwa mbali cha kufanya tafuta kademu alafu mzarau kwa si lolote si chochote hata kama anakucheat ili umuhamishie hali hiyo ya wivu yeye.WENZIO HUWA TUNAUMIA ILA HATUFOKI WALA NIN TUNAKAUSHA ILI AJIONE *****.
 
Penda kuwa cul usimuoneshe kuwa una mawivu coz huwa wanacheka na kujisikia raha sana.Kila mtu ana wivu haswa mukiwa mbali cha kufanya tafuta kademu alafu mzarau kwa si lolote si chochote hata kama anakucheat ili umuhamishie hali hiyo ya wivu yeye.WENZIO HUWA TUNAUMIA ILA HATUFOKI WALA NIN TUNAKAUSHA ILI AJIONE *****.
 

Wala huna wivu usingemwachia awe mbali nawe. Wewe una mahamu nae tu ,mweke karibu utajisikia kutafuta nyumba ndogo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…