Nawezaje kukuza kipato nje ya ajira?

Nawezaje kukuza kipato nje ya ajira?

Gotze Giyani

Senior Member
Joined
Feb 28, 2022
Posts
127
Reaction score
194
Wadau habari za muda,

Mimi ni kijana wa Kitanzania, ninaomba mnisaidie mawazo yenu. Nilikuwa nimewekeza pesa zangu kama 30m kwenye mfuko wa UTT Amis, sasa faida ipo ila sio kubwa sana maana ni kama 300k kwa mwezi. Sasa ninataka nianze biashara maeneo ya Kanda ya Ziwa.

Biashara gani ninaweza kuifanya kwa mtu ambaye hukuwai kufanya biashara kabisa, ambayo itanipa faida hata ya 50000 kwa siku inatosha. Maana mimi sio mtuu wa tamaa sana, kingine kumbuka nimeajiriwa.

Karibuni kwa mawazo yenu mazuri kuhusu biashara. Kama hauna mawazo naomba ukae kimya, uwaache great thinkers wa Jamii Forums wanishauri, hata kama ni wachache.

Asanteni, karibuni.
 
Mzee bakia huko UTT, mimi juzi hapa nimechoma loss ya 17M huku najiona.

Hapa inabidi nijipange tena.. bora nunua mazao weka gharani. Mimi pia ni employee kama wewe tatizo muda ni very limited so hakikisha unafanya uwekezaji salama.

Mwezi Agosti, natarajia kwenda kuweka UTT 20M hata kama ntakuwa napata 200,000 per month nitaitumia kukuza mtaji wa uwekezaji huku nikisubiri idea inayoeleweka.
 
Fungua huduma za uwakala tho mashine ni tabu ila ukipata eneo na vijana makini hiyo 50 na kuzidi utaipata kwa siku1
 
Mzee bakia huko UTT, mimi juzi hapa nimechoma loss ya 17M huku najiona.

Hapa inabidi nijipange tena.. bora nunua mazao weka gharani. Mimi pia ni employee kama wewe tatizo muda ni very limited so hakikisha unafanya uwekezaji salama.

Mwezi Agosti, natarajia kwenda kuweka UTT 20M hata kama ntakuwa napata 200,000 per month nitaitumia kukuza mtaji wa uwekezaji huku nikisubiri idea inayoeleweka.
Nashukuru kwa ushauri mzuri umenijibu kama mtuu aliyepata elimu US
 
Kama ni mtumishi na huna mda ni afadhali iweke kwenye ardhi hio pesa itazaa mara kumi baada ya miaka 10 au zaidi.

Biashara ni nyepesi kwenye karatasi na sio field. Mimi nimechoma zaidi ya milioni 300.Nilichoambulia ni experience tu.

Usifanye biashara kama huna mda wa kuisimamia,

Ili ufanikiwe ni lazima uumie kwanza
 
Fanya real asset ina risk kidogo pia ni rahisi kuicontrol mwenyewe wakati wa part time, ofisi YAKO unatembea nayo.
Nunua Shamba lipime kata viwanja uza viwanja. Umeshindwa nunua pagala liboreshe liwe guest ukosi elf 50 kwa siku.
Zingine utakuja leta uzi wa kulia hapa.
 
Fanya real asset ina risk kidogo pia ni rahisi kuicontrol mwenyewe wakati wa part time, ofisi YAKO unatembea nayo.
Nunua Shamba lipime kata viwanja uza viwanja. Umeshindwa nunua pagala liboreshe liwe guest ukosi elf 50 kwa siku.
Zingine utakuja leta uzi wa kulia hapa.
 
Fanya real asset ina risk kidogo pia ni rahisi kuicontrol mwenyewe wakati wa part time, ofisi YAKO unatembea nayo.
Nunua Shamba lipime kata viwanja uza viwanja. Umeshindwa nunua pagala liboreshe liwe guest ukosi elf 50 kwa siku.
Zingine utakuja leta uzi wa kulia hapa.
 
Tafuta odds mbili mbili za uhakika daily unaweka mzigo utapata zaidi ya hiyo 50k tena haitakubugudhi kwa kazi zako
 
Kwa Kanda ya ziwa nunua eneo weka mbuzi 500 wale wadogowadogo utawapata kwa ellfu 25 sawa na ml 25 alafu kwa mwaka utaweza kuuza mbuzi 250 kwa laki 1 sawa na 25 ml galama ya mchungaji na sawa 5 ml unaweza Baki 20 ml kila mwaka
 
Angalia watu wanao kuzunguka hasa watumishi (sio walimu wala askari). Anza kuwakopesha kwa riba ya 15% kwa mwezi, ingawa kuna wakati wanakua hawawezi kulipa kama mnavyo kubaliana lakini ukipata hata wachache wakakulipa riba na nusu ya deni kisha nusu inayo baki mnaisogeza kama mkopo kwa the same riba kwa following month utapata pesa. Hii ukitoa 10 millions ukaizungusha kwa watu unao wafahamu vizuri, hapo utakua na uhakika wa kupata walau 1.5 million faida, ukitoa hasara (maana wasumbufu hawakosekani) basi walau jiwekee minimum ya 1 million per month.
Hii ni rahisi kwasababu utakua unai control mwenyewe na transactions zote hakikisha unafanya kisasa ili ikitokea lolote unaweza ukadai kama ulie muazima.
 
Alafu siku nyingine usije ukaweka uzi na mkwara kana kwamba unataka uwe treated with specific member and special comments
 
Tafuta odds mbili mbili za uhakika daily unaweka mzigo utapata zaidi ya hiyo 50k tena haitakubugudhi kwa kazi zako
Hapana mimi sio mjinga wa kuishi maisha ya kubatisha mambo ya kubeti siyataki wala kuyasikia
 
Alafu siku nyingine usije ukaweka uzi na mkwara kana kwamba unataka uwe treated with specific member and special comments
kumbe na wewe umemuona jamaa eeh!

Anaoma ushauri jukwaani lakini bado anakuwa selective kwa mawazo yanayotolewa sasa siju anataka aina gani ya ushauri na watu gani wa kumpa huo ushauri
 
Kwa uzowefu wangu kama huna mda yani full time kwenye project yako.utatajilisha watu n ww ukabakia zero kabisa.
Kuna kisa hua nasimulia mnooo humu JF kuhusu boss aliekua kakosa mda wa bznes yake alivyo mtajilisha kijana.
Bznes yenyewe ni kununua chuma chakavu dogo katoka maisha boss anasuasua tu.mpk tuna muonea huruma.
TIME
TIME
TIME.
Zingatia ushauri wa jamaa w mwanzo kuwa rejesha pesa zako uko UTT.
 
Biashara hutegeme eneo ulilopo Location, Kama upo DSM fungua Mgahawa katika maeneo yaliyo na population ya watu .
 
Back
Top Bottom