Google Diggers
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 944
- 1,138
Yaani hii kitu Raha sana. Na hata mambo ya panya road I should posses one
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani hii kitu Raha sana. Na hata mambo ya panya road I should posses one
mzee naye alizembea ,anavuka na risasi nchi nyingine?Nenda mtafute mzee Edgar Maokola Majogo anamiliki moja toka alipokuwa Waziri wa ulinzi!!! Mzee huko nyuma aliwahi kusahau risasi ya bunduki yake hiyo kwenye hand bag yake na akasafiri nayo; huko alikokwenda mashariki ya mbali katika upekuzi wa security wa Airport wakaikuta hiyo risasi, mzee alipata kashkash sana bahati yake alikuwa waziri ama sivyo ilikuwa aende Lupango huko huko!
Zipo playstore nyingi tu...kadownload huko
Labda chinese type 56 japo nayo haimilikiwi na raia kwa Tanzania....ni military weapon.Yaani hii kitu Raha sana. Na hata mambo ya panya road I should posses one
Omg natamani sijui una kapicha kakeLabda chinese type 56 japo nayo haimilikiwi na raia kwa Tanzania....ni military weapon.
Msg yangu wakikupora inakuwa ndio mwisho wa maisha yako.Panya road panga linawatosha.