Nawezaje kumiliki AK-47 I am admirer

Njoo Dm tufanye Biashara, Nakuuzia UZI Pro Max
 
Nakushauri achana kabisa na hiyo ndoto huwezi kumiliki siraha ya kivita kwa hata huko kwenye majeshi sio wote wanazo
 
Yaani hii kitu Raha sana. Na hata mambo ya panya road I should posses one

Nenda mtafute mzee Edgar Maokola Majogo anamiliki moja toka alipokuwa Waziri wa ulinzi!!! Mzee huko nyuma aliwahi kusahau risasi ya bunduki yake hiyo kwenye hand bag yake na akasafiri nayo; huko alikokwenda mashariki ya mbali katika upekuzi wa security wa Airport wakaikuta hiyo risasi, mzee alipata kashkash sana bahati yake alikuwa waziri ama sivyo ilikuwa aende Lupango huko huko!
 
mzee naye alizembea ,anavuka na risasi nchi nyingine?
 
Kuna silaha nyingi tu unazoweza kumiliki kabla hujafikia hilo wazo lako la kumiliki silaha aina hiyo.
 
Wee tangaza dau tuu, unaletewa adi chumbani tena ikiwa full magazine!
 
Miliki pesa iyo mashine itakuja yenyewe.kuna mfanyabiashara mkoa wa Mara alikua na iyo mashine,ni yule aliyewazibua shaba wasiojulikana walipoenda kumteka.
 
Ukipata mbili nipasie moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…