Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
🧐🧐Unaona Mungu anafaidi eeeeeeh....!!!
🧐Anza na msingi kwanza
Mkuu hiyo hela hata floor 1 haitoshi. Nondo ziko juu ni balaa. Halafu inategemeana na eneo la ujenzi. Maeneo mengine huenda hiyo 70m ni msingi tu.Kama simple tafuta kama million 70 ujenge floor ya mbili na moja ya kwanza uiweke safi then fanya kuhamia ,huku unaboresha floor ya pili.
dooh hapo kuna mteremko mkali auMaeneo mengine huenda hiyo 70m ni msingi tu.