Nawezaje kumripoti Wakili tapeli kwenye Vyombo vya Sheria?

Nawezaje kumripoti Wakili tapeli kwenye Vyombo vya Sheria?

kakuruvi

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2009
Posts
770
Reaction score
258
Habari Wana JF!

Naomba kufahamishwa ikiwa Wakili umemkabidhi fedha na hakukamilisha fedha uliyompa unawezaje kumshitaki na mahali gani unapoweza kumshitaki?

Na je ukimpa kazi mtu mtu anayejinasibu kwamba ni Wakili lakini bado hajakuwa Wakili unaweza kumripoti wapi?

Nawasilisha
 
Habari Wana JF!

Naomba kufahamishwa ikiwa Wakili umemkabidhi fedha na hakukamilisha fedha uliyompa unawezaje kumshitaki na mahali gani unapoweza kumshitaki?

Na je ukimpa kazi mtu mtu anayejinasibu kwamba ni Wakili lakini bado hajakuwa Wakili unaweza kumripoti wapi?

Nawasilisha
Kabla hujampa mtu kazi ya uwakili ingiza jina lake kwenye hii link na utaambiwa kama amejisajili au la au kama anatambulika au la.
 
Habari Wana JF!

Naomba kufahamishwa ikiwa Wakili umemkabidhi fedha na hakukamilisha fedha uliyompa unawezaje kumshitaki na mahali gani unapoweza kumshitaki?

Na je ukimpa kazi mtu mtu anayejinasibu kwamba ni Wakili lakini bado hajakuwa Wakili unaweza kumripoti wapi?

Nawasilisha
Ingia google tafuta namba za TLS wao watakupa mwongozo
 
Japo muda umepita sana ila itasaidia na wengine wengi,

Hapo kuna mzingira mawili tofauti ambayo ni muhimu kuyafahamu vyema.

Mazingira ya kwanza ni ya wakili kutokomea bila kufanya huduma husika, hapo kama ulifanya malipo na unao udhahidi itakuwa rahisi zaidi kwako, hapo utaweza opt ama kesi ya madai au kwenda kwenye Kamati ya maadili ya Mawakili hapo utatoa lalamiko lako, ila uwe na maelezo yamenyooka.

Mazingira ya pili ni mtu sio wakili ila anajinabaisha kama wakili, hapo kuna jinai kama atakuwa anatumia jina au taarifa za wakili yoyote, pili kuna madai kama ulishalipa tatu kuna Chama cha Mawakili (TLS) nne Kwa msajili wa Mahakama Kuu. Popotekati ya hapo utapata msaada mzuri.

Ila ni vyema san jamii ikafahamu tofauti kati ya Wakili na Mwanasheria na pia jamii iepuke sana kufanya kazi na mtu asiyena ofisi maalumu.

Wakili ni mtu aliyeorodheshwa kwenye orodha ya mawakili na kupatiwa namba ya orodha, anayeweza kumuakilisha mtu ama Mahakamani au katika vyombo vingine vya utekelezaji wa sheria

Mwanasheria ni mtu aliyesoma shahada ya kwanza ya sheria. Hapo utaona ni mtu aliyesoma shahada ya sheria na sio diploma wala cheti hao sio wanasheriahao ni wasaidizi wa sheria. Hii ni kwa mujibu wa Sheria ya msaada wa kisheria.

Mwanasheria asiye Wakili haruhusiwi kumuwakilishamtumahali popote kama mwanasheria wake/wakili wake, vile vile haruhusiwi kuandaa nyaraka zozoteza kisheria zinazokwenda Mahakamani.

Nadhani itawapa wadau mwanga
 
Habari Wana JF!

Naomba kufahamishwa ikiwa Wakili umemkabidhi fedha na hakukamilisha fedha uliyompa unawezaje kumshitaki na mahali gani unapoweza kumshitaki?

Na je ukimpa kazi mtu mtu anayejinasibu kwamba ni Wakili lakini bado hajakuwa Wakili unaweza kumripoti wapi?

Nawasilisha
Wakili msomi
 
Habari Wana JF!

Naomba kufahamishwa ikiwa Wakili umemkabidhi fedha na hakukamilisha fedha uliyompa unawezaje kumshitaki na mahali gani unapoweza kumshitaki?

Na je ukimpa kazi mtu mtu anayejinasibu kwamba ni Wakili lakini bado hajakuwa Wakili unaweza kumripoti wapi?

Nawasilisha

Huyo no mhalifu kabisa kama hana qualifications, anzia Police, ila sasa mambo gako yawe yamenyoka.

Usijje kuwa kama Madeleka anaenda kufungua kesi ya kupinga plea bargain wakati ndo imemiweka uraiani.

Usije kata tawi unalolikalia, wale jamaa hawachelewi kikutia ndani na kukupatia mashtaka mengine.
 
Peleka malalamiko kwenye Advocates’ Committee kama mhusika ni Wakili, kama sio Wakili fungua kesi ya jinai

Ukitaka fidia fungua kesi ya madai.
 
Back
Top Bottom