Nawezaje kumsaidia mtu aliyekunywa dawa ya magugu (ParaeForce)

Nawezaje kumsaidia mtu aliyekunywa dawa ya magugu (ParaeForce)

Kwema wakuu, kuna dogo mtaani kanywa dawa ya kuulia magugu aina ya ParaeForce. Naombeni njia ya kumnusuru maana ana hali mbaya
1: MKIMBIZE/MPELEKE hospitali ya karibu na ulipo.

2: Ondoa nguo zozote zilizo na dawa kwenye mwili wake. Kama umezigusa pia unawe vyema na sabuni.

3: Apewe activated charcoal/ mkaa maalumu, hupatikana hospital.

4: Hospitali wanaweza kuwepa mipira ya kuondoa dawa iliyoko tumboni kama wataona inafaa.

NB: Karatasi zinazokuja na dawa hutoa maelekezo ya jinsi ya kuwasaidia wanao kuwa na madhira ya dawa husika.
 
1: MKIMBIZE/MPELEKE hospitali ya karibu na ulipo.

2: Ondoa nguo zozote zilizo na dawa kwenye mwili wake. Kama umezigusa pia unawe vyema na sabuni.

3: Apewe activated charcoal/ mkaa maalumu, hupatikana hospital.

4: Hospitali wanaweza kuwepa mipira ya kuondoa dawa iliyoko tumboni kama wataona inafaa.
Nashukuru mkuu
 
Badala ya kumuwahishahospitali unasubiri majibu JF,mpaka majibu yakufikie aneshakufa
Hii dawa ukiinywa ni ngumu kupona imeua watu wengi mtaani. Kwao wamempeleka kwa mtaalam wa dawa za kienyeji ndo kampa dawa pia kawekewa drip ila huduma anapewa nyumbani
 
Hapa ndipo vituo vya afya vya eneo husika vinaweza kuandika taarifa ya:

Emergency preparedness/Utayari wakati wa dharura.
Moja ya vitu muhimu ikahusisha;

1: HAZMAT(Harzadous Materials)/ Vitendeakazi hatarishi kwa maeneo husika.

2: MDS(Material Data Sheets ya namba 1 hapo juu). Jinsi ya kusaidia watu waliodhurika au kuwa kwenye mgusano na namba moja hapo juu.

3: Elimu kwa wananchi wa eneo husika juu ya 1 na 2 pia kujikinga.
 
Hapa ndipo vituo vya afya vya eneo husika vinaweza kuandika taarifa ya:

1: HAZMAT(Harzadous Materials)/ Vitendeakazi hatarishi.

2: MDS(Material Data Sheets ya namba 1 hapo juu). Jinsi ya kusaidia watu waliodhurika au kuwa kwenye mgusano na namba moja hapo juu.
Kweli mkuu
 
Hii dawa ukiinywa ni ngumu kupona imeua watu wengi mtaani. Kwao wamempeleka kwa mtaalam wa dawa za kienyeji ndo kampa dawa pia kawekewa drip ila huduma anapewa nyumbani
Keaiyo wana kunywa kama sifa au ni nini
 
IQ za watanzania zipo low sana.
Mkuu, usipende kulaum na kuwashusha wenzio. Ameomba msaada hapa we kama unajua afanyaje mwambie, na kama hujui nyamaza.

Hivi unafahamu Kuna kitu kinaitwa huduma ya kwanza?

Huwezi jua Kuna umbali gani kutoka hapo alipo mpaka hospitali, kama Kuna uwezekan wa kumpa huduma ya kwanza huenda ikawa amemuokoa au kumpunguzia madhari ya hiyo dawa.
 
Mkuu, usipende kulaum na kuwashusha wenzio. Ameomba msaada hapa we kama unajua afanyaje mwambie, na kama hujui nyamaza.

Hivi unafahamu Kuna kitu kinaitwa huduma ya kwanza?

Huwezi jua Kuna umbali gani kutoka hapo alipo mpaka hospitali, kama Kuna uwezekan wa kumpa huduma ya kwanza huenda ikawa amemuokoa au kumpunguzia madhari ya hiyo dawa.
Ww na mleta mada ni jamii moja. I feel very sorry for you guys
 
Back
Top Bottom