Nawezaje kupata cheti kingine original cha Form 4?

Nawezaje kupata cheti kingine original cha Form 4?

eklepo

New Member
Joined
Dec 11, 2024
Posts
2
Reaction score
3
Habari,

Wanajukwaa mm ni mwanachuo mwaka wa tatu mnamo Tarh 29 Nov lilitok tangazo la ajira migration kwa bahati nimefanikiwa kupeleka maombi na kutokana na tetesi wiki ijayo tunaweza kuitwa kwenye interview ila changamoto yangu kubwa mpk sasa ni kwamba nimepoteza cheti original cha form 4 nimebaki tu na copy.

Kule maombi nimeomba kwa form 6 cheti cha form 6 original ninacho cha kuzaliw poa og kipo hasa.

Naomb kuuliza hivi, ndo nitafeli interview kisa form 4 og na pia naomb hatua za kuweza kukipata chengine.
 
Habari,

Wanajukwaa mm ni mwanachuo mwaka wa tatu mnamo Tarh 29 Nov lilitok tangazo la ajira migration kwa bahati nimefanikiwa kupeleka maombi na kutokana na tetesi wiki ijayo tunaweza kuitwa kwenye interview ila changamoto yangu kubwa mpk sasa ni kwamba nimepoteza cheti original cha form 4 nimebaki tu na copy.

Kule maombi nimeomba kwa form 6 cheti cha form 6 original ninacho cha kuzaliw poa og kipo hasa.

Naomb kuuliza hivi, ndo nitafeli interview kisa form 4 og na pia naomb hatua za kuweza kukipata chengine.
Watu wameshalipia majina yao.
Yani hii TZ duh
 
Habari,

Wanajukwaa mm ni mwanachuo mwaka wa tatu mnamo Tarh 29 Nov lilitok tangazo la ajira migration kwa bahati nimefanikiwa kupeleka maombi na kutokana na tetesi wiki ijayo tunaweza kuitwa kwenye interview ila changamoto yangu kubwa mpk sasa ni kwamba nimepoteza cheti original cha form 4 nimebaki tu na copy.

Kule maombi nimeomba kwa form 6 cheti cha form 6 original ninacho cha kuzaliw poa og kipo hasa.

Naomb kuuliza hivi, ndo nitafeli interview kisa form 4 og na pia naomb hatua za kuweza kukipata chengine.
Hicho mbona rahisi tu kaka,cha kufanya we risiti tu na ukazane kusoma.
 
Habari,

Wanajukwaa mm ni mwanachuo mwaka wa tatu mnamo Tarh 29 Nov lilitok tangazo la ajira migration kwa bahati nimefanikiwa kupeleka maombi na kutokana na tetesi wiki ijayo tunaweza kuitwa kwenye interview ila changamoto yangu kubwa mpk sasa ni kwamba nimepoteza cheti original cha form 4 nimebaki tu na copy.

Kule maombi nimeomba kwa form 6 cheti cha form 6 original ninacho cha kuzaliw poa og kipo hasa.

Naomb kuuliza hivi, ndo nitafeli interview kisa form 4 og na pia naomb hatua za kuweza kukipata chengine.
Tetesi kwamba wiki ijayo mtaitwa Interview umezipata wapi??acha mhaho kijana
 
Habari,

Wanajukwaa mm ni mwanachuo mwaka wa tatu mnamo Tarh 29 Nov lilitok tangazo la ajira migration kwa bahati nimefanikiwa kupeleka maombi na kutokana na tetesi wiki ijayo tunaweza kuitwa kwenye interview ila changamoto yangu kubwa mpk sasa ni kwamba nimepoteza cheti original cha form 4 nimebaki tu na copy.

Kule maombi nimeomba kwa form 6 cheti cha form 6 original ninacho cha kuzaliw poa og kipo hasa.

Naomb kuuliza hivi, ndo nitafeli interview kisa form 4 og na pia naomb hatua za kuweza kukipata chengine.
Hatua za kufuata ni , nunua gazeti unaloliamini linaweza kufikiwa na watu wengi alafu nenda ukurasa wa matangazo kisha chukua nba ya muhusika na matangazo wa gazeti husika kisha wasiliana nae atakupa maelekezo , budget apo ua kutuma andaa 30-25tsh, then atakwambia lini hilo gazeti linatoka then linunue coz ndo litakusaidia necta uko ukienda , budget apo ni 150k tsh then utasubiri 3month the n utafata chet chako, ila nmeona tangazo lao la offer katai ya tar 11/12 mwez huu juu ya kufanyiwa hizo uduma hebe ingia kwenye website yao chap
 
Habari,

Wanajukwaa mm ni mwanachuo mwaka wa tatu mnamo Tarh 29 Nov lilitok tangazo la ajira migration kwa bahati nimefanikiwa kupeleka maombi na kutokana na tetesi wiki ijayo tunaweza kuitwa kwenye interview ila changamoto yangu kubwa mpk sasa ni kwamba nimepoteza cheti original cha form 4 nimebaki tu na copy.

Kule maombi nimeomba kwa form 6 cheti cha form 6 original ninacho cha kuzaliw poa og kipo hasa.

Naomb kuuliza hivi, ndo nitafeli interview kisa form 4 og na pia naomb hatua za kuweza kukipata chengine.
Mbona juzi tu hapa NECTA walikuwa wakitoa hiyo huduma na walitangaza sana.
Sikumbuki mwisho ni lini lkn ilikuwa ni November mwishoni ndipo walianza kutoa hiyo huduma.
 
Habari,

Wanajukwaa mm ni mwanachuo mwaka wa tatu mnamo Tarh 29 Nov lilitok tangazo la ajira migration kwa bahati nimefanikiwa kupeleka maombi na kutokana na tetesi wiki ijayo tunaweza kuitwa kwenye interview ila changamoto yangu kubwa mpk sasa ni kwamba nimepoteza cheti original cha form 4 nimebaki tu na copy.

Kule maombi nimeomba kwa form 6 cheti cha form 6 original ninacho cha kuzaliw poa og kipo hasa.

Naomb kuuliza hivi, ndo nitafeli interview kisa form 4 og na pia naomb hatua za kuweza kukipata chengine.
Nilivyoona umeandika chengine badala ya kingine nikajua ni wale wale, watoto wa 2000 ambao hawajui kujiongeza.
 
Back
Top Bottom