Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alooo jamaa inawezekana wananyonya damu kama kupe au lubaHuo mkopo unaoutafuta unaweza hata macho yasione vizuri ukiwa unatumia hiyo camera kwa namna utajavyokaushwa damu, Kila la kheri kwenye marejesho
NIMEWASIKIA LEO KINA MAMA WANAWAONGELEA HAO KAUSHA DAMU, NIKAJUA UTANI🤣🤣🤣Kakope Kwa kausha damu ofisi zao zipo mbagala rangi tatu
Nenda benki.Nataka kuendeleza biashara yangu ya studio. Plan ni kununua camera na printer machine.
Hiyo hela itaishia kwenye Camera tu tena kwa kujitahidi sana Mkuu. Ila kama unahitaji huo mkopo nakushauri kautafute kwa mtu binafsi na sio taasisi maana ukizingua hawatacheka na wewe.Nataka kuendeleza biashara yangu ya studio. Plan ni kununua camera na printer machine.