likat
Member
- Feb 19, 2013
- 40
- 32
Nahitaji ushauri. Mimi ni entreprenuer ninayeanza. Nategemea kujishughulisha na utengenezaji wa vyakula vya mifugo na pia uchakataji wa mafuta ya kupikia katika hatua ya " refining". Nimesha install machine kwa ajili ya uwekezaji. Kiufupi nimewekeza Tsh 100,000,000 kama physical capital hasa upande wa machines ila ninahutaji wa operating capital kwa ajili ya kuanza uzalishaji.
Changamoto kubwa kila mahali ninapoenda kuomba fedha hasa mkopo wananiambia biashara yangu inatakiwa iwe ina mwaka 1 na inazalisha mapato ukiangalia mimi ndio ninaanza. Machines ninazo nimeshafunga kwa ajili ya kuanza kazi, umeme nimeingiza, majengo ninayo lakini kupata fedha ni shida sana. Machine zipo 6.
Wadau ninaomba ushauri wenu, mawazo yenu.
Changamoto kubwa kila mahali ninapoenda kuomba fedha hasa mkopo wananiambia biashara yangu inatakiwa iwe ina mwaka 1 na inazalisha mapato ukiangalia mimi ndio ninaanza. Machines ninazo nimeshafunga kwa ajili ya kuanza kazi, umeme nimeingiza, majengo ninayo lakini kupata fedha ni shida sana. Machine zipo 6.
Wadau ninaomba ushauri wenu, mawazo yenu.