lete rimoti
Senior Member
- Aug 24, 2021
- 152
- 196
Sijajua jinsia gani ila kuna shirika linaitwa "help to help" kwanzia certificate hadi degree....Wakuu Nilisikia Kuna Channel na Procedure za kufuata kama Mtu Huna Pesa ya Ada na Serikali Inaweza Kukusomesha.
Ila Sasa Sijapata Kujua Exactly Ninawezaje Kupata Nafasi hii. Hasa katika ngazi ya Diploma au Certificate?
Tafuta kanisa la KKKT ambalo unaona lipo vizuri financially...you can research it...nenda pale kawaeleze kua una ndoto za kusoma na waambie unaomba wakusaidie utimize ndoto zako...Wakuu Nilisikia Kuna Channel na Procedure za kufuata kama Mtu Huna Pesa ya Ada na Serikali Inaweza Kukusomesha.
Ila Sasa Sijapata Kujua Exactly Ninawezaje Kupata Nafasi hii. Hasa katika ngazi ya Diploma au Certificate?
Ahsante MkuuSijajua jinsia gani ila kuna shirika linaitwa "help to help" kwanzia certificate hadi degree....
Ahsante Mkuu. Naamini katika makanisa wapo Watu wengi wenye UpendoTafuta kanisa la KKKT ambalo unaona lipo vizuri financially...you can research it...nenda pale kawaeleze kua una ndoto za kusoma na waambie unaomba wakusaidie utimize ndoto zako...
NIMEJIKUTA NIMEWAZA IVYO TU,
For sure nipo hapa nangojea mrejesho wako.....
[emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]
#ASAP
Mkuu, Vipi Kwa Masters kwa Chuo cha Ndani ya nchi TZ?Sijajua jinsia gani ila kuna shirika linaitwa "help to help" kwanzia certificate hadi degree....