O Omujuni New Member Joined Apr 28, 2022 Posts 1 Reaction score 1 Oct 21, 2022 #1 Habarini za muda huu wadau wa Jamii Forums. Ninatamani kuanza biashara ya kuuza gesi za kupikia nawezaje kupata uwakala wa haya makampuni ya gesi na vigezo vipi vinahitajika!?
Habarini za muda huu wadau wa Jamii Forums. Ninatamani kuanza biashara ya kuuza gesi za kupikia nawezaje kupata uwakala wa haya makampuni ya gesi na vigezo vipi vinahitajika!?
Lello199 JF-Expert Member Joined Aug 26, 2016 Posts 1,385 Reaction score 3,545 Oct 22, 2022 #2 Vigezo ni pesa yako tu. Ukiona gari la gas linapita wasimamishe waambie unahitaji gas watakuuzia.
May Day JF-Expert Member Joined May 18, 2018 Posts 6,311 Reaction score 9,027 Oct 22, 2022 #3 Nenda kwa Duka wanapouza Mitungi ya Gesi unaloona popote unapopita muombe taarifa atakupa tu.