Lipijema
JF-Expert Member
- Mar 8, 2015
- 830
- 1,223
Naomba maelezo ya kutengeneza zile chapati za kufungia sambusa,
Ni kwamba hiyo kitu nilikuwa nikijua siku nyingi zilizopita nikiwa bado kijana enzi hizo nipo hapo Pwani ya Tanzania, kwa sasa nipo huku bara miaka kadhaa nimesha sahau! ila zile process nyingine za kusaga nyama mixer na vitunguu maji, kuzifunga na kuzichoma/kukaanga bado nazikumbuka.
Bila shaka wajuzi wengi mmo humu tukumbushane pls!
Ni kwamba hiyo kitu nilikuwa nikijua siku nyingi zilizopita nikiwa bado kijana enzi hizo nipo hapo Pwani ya Tanzania, kwa sasa nipo huku bara miaka kadhaa nimesha sahau! ila zile process nyingine za kusaga nyama mixer na vitunguu maji, kuzifunga na kuzichoma/kukaanga bado nazikumbuka.
Bila shaka wajuzi wengi mmo humu tukumbushane pls!