Nawezaje kupinga uteuzi wa Wajumbe wa bodi ya Simba?

Nawezaje kupinga uteuzi wa Wajumbe wa bodi ya Simba?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Mimi ni Mwanachama hai wa Simba, Sijaridhishwa na Uteuzi wa Ramadhan Kailima kuwa Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba

Kailima ni mtu asiyeaminika na amewahi kutumika mara kadhaa na ccm kwenye masuala ya Uchaguzi na kuchangia kuvuruga amani, hakuna asiyelijua hili.

Mtu kama huyu anawezaje kuaminiwa na Simba?

Ifike mahali viongozi wa soka wajaribu kuwaheshimu wananchi wengine ili kuepuka lawama, Kailima hawezi kusaidia simba , hii ni kwa sababu michuano ya Caf haisimamiwi na Tume ya Uchaguzi, hatoweza kupora ushindi , kumteua mtu huyu ni sawa na kujitafutia laana

Screenshot_2024-06-19-23-57-32-1.png
 
Kabla hujataka kujua hilo, nadhani kwanza uliza ilikuwaje hadi Mangungu akatumia mwaka mzima kufanya uteuzi wa hizo nafasi?

Uliza kwanini kabakiza nafasi zingine za kuteua wajumbe, na kwanini baada ya teuzi za Wajumbe wa Bodi za Mo, naye ndiyo kamleta Kailima?

Omba kujua Bodi ya awali ilimshauri bwana Mangungu amteue nani kwenye hizo nafasi ili kutibu madonda ya uchaguzi na hakumteua?

Labda, ukipata majibu ya maswali haya yataweza kukuongoza kwenye kujua kama unaweza kumpinga Kailima au huwezi.

Ova
 
Mimi ni Mwanachama hai wa Simba, Sijaridhishwa na Uteuzi wa Ramadhan Kailima kuwa Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba...
Wewe jamaa una chuki kali sana na watu. Yaani hapo unataka kumpinga Kailima kwa sababu alikuwa msimamizi wa uchaguzi ambao chama chako kilipoteza. Chuki za kisiasa unaziamishia kwenye masuala ya mpira.
Acha roho mbaya, siyo kila watu wanajali kuhusu hizo chuki zenu za kisiasa.
 
Mwanakitengo mzuri aliovuruga uchaguzi yeye na jpm, hii nchi wajinga mmejaa sana hawa kitengo wanaovaa sare za kijani ni useless
Chuki za kisiasa ziacheni kwenye siasa zenu za hovyo huko, hazina uhusiano wowote na masuala ya Bodi ya Simba.
Halafu nyie na hizo siasa zenu nani msafi hadi muanze kuwanyoshea wenzenu vidole na muwajengee chuki za kiasi hicho? Kama hii nchi ina wajinga na wewe ni mmoja wao ambaye unaleta chuki za kisiasa kwenye mpira.
 
Mambo ya siasa hayana nafasi kwenye mpira.
Kama ni hivyo ata kule bungeni wabunge wasingekuwa wanajichanganya na kuunda timu zao za michezo. Acha michezo ichukue nafasi yake
 
Mwanakitengo mzuri aliovuruga uchaguzi yeye na jpm, hii nchi wajinga mmejaa sana hawa kitengo wanaovaa sare za kijani ni useless
Unataka nchi wapewe wapayukaji,wasokua hata na adabu ya kauli!?..never,chama chenyewe kikoba Cha mtu na baba mkwe wake
 
Wewe jamaa una chuki kali sana na watu. Yaani hapo unataka kumpinga Kailima kwa sababu alikuwa msimamizi wa uchaguzi ambao chama chako kilipoteza. Chuki za kisiasa unaziamishia kwenye masuala ya mpira.
Acha roho mbaya, siyo kila watu wanajali kuhusu hizo chuki zenu za kisiasa.
Tutahakikisha kailima anang'oka kwa udi na uvumba, huyu ni chukizo kwa Mungu, hatutakuwa na kolabo na watu wa nmna hii, Simba haiwezi kubeba wasiobebeka, siku utasikia Dr Mahera Mwenyekiti wa Simba

Lazima Mamluki wapingwe kwa nguvu zote
 
Mambo ya siasa hayana nafasi kwenye mpira.
Kama ni hivyo ata kule bungeni wabunge wasingekuwa wanajichanganya na kuunda timu zao za michezo. Acha michezo ichukue nafasi yake
Tuachieni mpira wetu
 
Tutahakikisha kailima anang'oka kwa udi na uvumba, huyu ni chukizo kwa Mungu, hatutakuwa na kolabo na watu wa nmna hii, Simba haiwezi kubeba wasiobebeka, siku utasikia Dr Mahera Mwenyekiti wa Simba

Lazima Mamluki wapingwe kwa nguvu zote
Atang’oka kama itaonekana hana sifa zinazohitajika ila siyo kwa chuki zako za kisiasa.

Huna mamlaka ya kumhukumu yeyote kwa sababu hata wewe una maovu yako mengi tu na hauna usafi na inawezekana wewe ukawa mchafu zaidi ya hao unawaotuhumu
 
Mimi ni Mwanachama hai wa Simba, Sijaridhishwa na Uteuzi wa Ramadhan Kailima kuwa Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba

Kailima ni mtu asiyeaminika na amewahi kutumika mara kadhaa na ccm kwenye masuala ya Uchaguzi na kuchangia kuvuruga amani, hakuna asiyelijua hili.

Mtu kama huyu anawezaje kuaminiwa na Simba?

Ifike mahali viongozi wa soka wajaribu kuwaheshimu wananchi wengine ili kuepuka lawama, Kailima hawezi kusaidia simba , hii ni kwa sababu michuano ya Caf haisimamiwi na Tume ya Uchaguzi, hatoweza kupora ushindi , kumteua mtu huyu ni sawa na kujitafutia laana

Mashabiki wa Simba hawana sauti na Ndiyo maana wanaitwa mbumbumbu
 
Mimi ni Mwanachama hai wa Simba, Sijaridhishwa na Uteuzi wa Ramadhan Kailima kuwa Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba

Kailima ni mtu asiyeaminika na amewahi kutumika mara kadhaa na ccm kwenye masuala ya Uchaguzi na kuchangia kuvuruga amani, hakuna asiyelijua hili.

Mtu kama huyu anawezaje kuaminiwa na Simba?

Ifike mahali viongozi wa soka wajaribu kuwaheshimu wananchi wengine ili kuepuka lawama, Kailima hawezi kusaidia simba , hii ni kwa sababu michuano ya Caf haisimamiwi na Tume ya Uchaguzi, hatoweza kupora ushindi , kumteua mtu huyu ni sawa na kujitafutia laana

Rejelea katiba inasemaje?
 
Mimi ni Mwanachama hai wa Simba, Sijaridhishwa na Uteuzi wa Ramadhan Kailima kuwa Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba

Kailima ni mtu asiyeaminika na amewahi kutumika mara kadhaa na ccm kwenye masuala ya Uchaguzi na kuchangia kuvuruga amani, hakuna asiyelijua hili.

Mtu kama huyu anawezaje kuaminiwa na Simba?

Ifike mahali viongozi wa soka wajaribu kuwaheshimu wananchi wengine ili kuepuka lawama, Kailima hawezi kusaidia simba , hii ni kwa sababu michuano ya Caf haisimamiwi na Tume ya Uchaguzi, hatoweza kupora ushindi , kumteua mtu huyu ni sawa na kujitafutia laana

Kamanda umeona umpinge huyo Kailima, kwa sababu tu ya itikadi zenu za kisiasa!! Mbona hukumpinga Manzoki siku ile ya uchaguzi wenu?

Au unaweza kuniambia hapa alikuja siku ile kama mgeni mwalikwa, meneja wa kampeni wa Mangungu, mshereheshaji, au!!
 
Tutahakikisha kailima anang'oka kwa udi na uvumba, huyu ni chukizo kwa Mungu, hatutakuwa na kolabo na watu wa nmna hii, Simba haiwezi kubeba wasiobebeka, siku utasikia Dr Mahera Mwenyekiti wa Simba

Lazima Mamluki wapingwe kwa nguvu zote
Muanze kwanza na aliyemteua, ili tuone kama kweli huo uwezo mnao.
 
Katiba ya Simba Ina vipengele vinavyotaka wanachama wawe waadilifu ingawa sikumbuki ni ibara gani.
Ila niliwaona Manara wakati yupo Simba , Rage, Hasanoo wakudunda labda hakuna aliyelalamika. Pia kassim Dewji alidanganya kuhusu ujenzi wa ghorofa akadai Lina msingi wa ghorofa saba kumbe tatu na pia aliuza sehemu ya jengo la Simba kwa mhindi mwenzake.
 
Mimi ni Mwanachama hai wa Simba, Sijaridhishwa na Uteuzi wa Ramadhan Kailima kuwa Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba

Kailima ni mtu asiyeaminika na amewahi kutumika mara kadhaa na ccm kwenye masuala ya Uchaguzi na kuchangia kuvuruga amani, hakuna asiyelijua hili.

Mtu kama huyu anawezaje kuaminiwa na Simba?

Ifike mahali viongozi wa soka wajaribu kuwaheshimu wananchi wengine ili kuepuka lawama, Kailima hawezi kusaidia simba , hii ni kwa sababu michuano ya Caf haisimamiwi na Tume ya Uchaguzi, hatoweza kupora ushindi , kumteua mtu huyu ni sawa na kujitafutia laana

Katiba yenu inasemaje kuhusu majukumu ya muwekezaji na anawajibishwaje kama Ndiyo final say yaani mwenye kauli ya mwisho Ndiyo basi tena
 
Katiba ya Simba Ina vipengele vinavyotaka wanachama wawe waadilifu ingawa sikumbuki ni ibara gani.
Ila niliwaona Manara wakati yupo Simba , Rage, Hasanoo wakudunda labda hakuna aliyelalamika. Pia kassim Dewji alidanganya kuhusu ujenzi wa ghorofa akadai Lina msingi wa ghorofa saba kumbe tatu na pia aliuza sehemu ya jengo la Simba kwa mhindi mwenzake.
Nimeimiss matango poli
 
Kamanda umeona umpinge huyo Kailima, kwa sababu tu ya itikadi zenu za kisiasa!! Mbona hukumpinga Manzoki siku ile ya uchaguzi wenu?

Au unaweza kuniambia hapa alikuja siku ile kama mgeni mwalikwa, meneja wa kampeni wa Mangungu, mshereheshaji, au!!
Jikite kwenye mada
 
Back
Top Bottom