nawezaje kupunguza matiti makubwa

nawezaje kupunguza matiti makubwa

kapuchi

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2008
Posts
268
Reaction score
163
JF Doctor,

nina swali kwako,mimi no binto wa miaka 35 ,nimeolewa na nina watoto wawili.Tatizo langu ni kuwa matiti yangu ni makubwa sana ,naomba unisaidie nifanyeje kupunguza matiti yangu kwa kuwa yananikosesha raha
 
Wewe upo dunia gani; bado hujajua kuwa matiti makubwa ni dili. Wenzio wanachoma sindano yawe makubwa wewe unataka kupunguza. Yaache hivyo hivyo mimi nayapenda!!!!!!!!!!!
 
Pole mama ila nakushauri uridhike na maumbile yako kwani ni mazito? Ukianza kuhangaika utaishia kupata shida zaidi! Yaone ni ya kawaida tu wala si mzigo usijeingia katika gharama za maisha!
 
mwambie jamaa apunguze kuyanyonya au ndo starehe yake pole xana au ka vipi fanya diet huwa yanapungua
 
Nadhani sehemu ya mambo haya ipo ndani ya JF mapenzi na urafiki. Hapa ni political issues tu au co mazeee?
 
kwanza kubaliana na umbo la ukubwa wa matiti yako, na uyapende.wacha kbs mawazo ya kupunguza kwani wenzako wanayatafuta hayo makubwa.
 
Duh, yaani mie napenda sana demu mwenye matiti makubwa na sijali kama ameolewa au la. Usipunguze, iko siku Mungu atatukutanisha uone jinsi gani ulivyobahatika
 
Kwani ulipo search online umeshindwa pata jibu? Kama bado jaribu basi itakusaidia kujua na side effects na experience za watu waliofanya
 
kwanza kubaliana na umbo la ukubwa wa matiti yako, na uyapende.wacha kbs mawazo ya kupunguza kwani wenzako wanayatafuta hayo makubwa.
Kama nimemwelewa vizuri yamezidi ukubwa!Mama yangu mdogo alishauriwa na daktari wake apunguze kwasababu yalikua yanamsababishia maumivu ya mgongo.Kila kitu kikizidi ni tatizo kwahiyo dada kama sio kwaajili ya muonekano tu..yani yanakusababishia maumivu fanya mpango ufanyiwe upasuaji.Sijui kama kuna njia nyingine ya kupunguza!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
toa tenda ya kunyonyesha kwa watoto wasio na mama..
upate hela kwa kutumia hayo matiti...

halafu unaweza kushiriki kwenye

matangazo ya biashara ya bra
au vitu vingine kama hivyo...
 
Ni pesa yako tu mdada yanapunguzika ila sijajua kwa bongo ni hosptali gani waweza fanya kama upo Uk nadhani ni paundi 4,000 :A S-key:
 
Kama nimemwelewa vizuri yamezidi ukubwa!Mama yangu mdogo alishauriwa na daktari wake apunguze kwasababu yalikua yanamsababishia maumivu ya mgongo.Kila kitu kikizidi ni tatizo kwahiyo dada kama sio kwaajili ya muonekano tu..yani yanakusababishia maumivu fanya mpango ufanyiwe upasuaji.Sijui kama kuna njia nyingine ya kupunguza!

Hili hata mimi nimewahi kulisikia pia, lakini kama ukiamua kufanya upasuaji basi hakikisha mtaalamu utakayempata ana uzoefu wa upasuaji kama huo maana matapeli wako wengi na matokeo yake yanaweza kuwa si mazuri.
 
JF Doctor,

nina swali kwako,mimi no binto wa miaka 35 ,nimeolewa na nina watoto wawili.Tatizo langu ni kuwa matiti yangu ni makubwa sana ,naomba unisaidie nifanyeje kupunguza matiti yangu kwa kuwa yananikosesha raha

Hayo matiti yako yana ukubwa kiasi gani? DD, DDD, EE, au? Hebu nipe vipimo vyake ili niweze kukupa ushauri muafaka.
 
tehetehetehetehetehe!!!! Uwiiiiiiiii. Nakufa mbavu zangu jamani!!!! Kweli ukiwa Jf hufi kwa presha, sukari, stroke wala stress!! Daaah mbarikiwe sana wapendwa.
 
POLE SANA,
KAMA YANAKUSABABISHIA MAUMIVU ONANA NA MADR ILI USHAURIWE NINI CHA KUFANYA.

ILA KUNA KITU SIJAKUELEWA ,UMEEJIITA (BINTO NAHISI ULIMAANISHA BINTI ) HUKU UKIWA NA MIAKA 35?
JAMANI HIVI MWANAMKE MWENYE MIAKA 35 ANASIFA YA KUJIITA BINTI KWELI ???.
mmmh!!! na wa miaka 15 atajiitaje?
 
Back
Top Bottom