Good Idea hili anapaswa kulifanyia kaziwanaotaka kununua biashara tangaza dau mtu anunue mkubaliane deni na manunuzi ya ofisi huishi kwa aman...
Funga sepa watabaki na makaratasi mwisho watachana.
usimshauri hivyo system ya sasaiv atakamatika tu kama c leo hata kesho.Just vanish off the radar! Watakupata wapi? Ukirudi kwenye gem tumia TIN ya mamsap... Mpaka uki recover then utarudi kwenye TIN yako...
Guys habari zenu.
Nilifungua biashara mwakan juzi,ikawa inapiga kazi fresh;sasa mwaka huu mambo yameenda tofauti.
Nimeamua niifunge biashara,TRA wananidai pesa ya kodi,nimewaambia wafunge then ntawalipa,wamegoma wanasema nilipe then ndo wafunge.
Now hela sina,na ikiendelea kukaa bila kufungwa ndo deni lina zidi
Hivi hakuna njia nyingne ya kustopisha wakuuu? ?