Nawezaje kusitisha Udahili wa chuo?

Kama hukuomba course yoyote katika hicho chuo na bado kikakuchagua, malalamiko yako yapeleke TCU, ndio wenye uwezo kukutoa kwenye mfumo ili uweze kuomba upya chuo unachotaka.
 
Uki-apply vyuo zaidi za kimoja mfano vyuo vitano (5) na ukachaguliwa kwenye chuo kimoja tu (vinne vyote vikakutema) haihitaji ku-confirm hapo automatically unakuwa umechaguliwa kujiunga na hicho chuo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…