Naamini mu wazima mwenye taarif zozote kuhusu chuo cha DIT hasa vigezo vya kujiunga na kozi za IT maana nimesoma Arts ila napenda kusoma IT hapo DIT, nna pass 1.3 Alama zangu ni F ya mathe, B ya english na C ya kiswahili.
Ha ha ha... We ss hy matani arts lafu una f y maths unataka DIT,labda uende college z mtaani/vichochoron ,dit wanahtaj d:3,kwa pre-entry au c:3 kwa direct entry masomo n "PCM" Yan phy,chem n math lazma ufaulu vizur ,kw maelezo zaid ingia hapa: DIT Home
rudia mwaka tafuta credit. izo perception ondoa ama tafuta certicates nyingine vyuo vya kibiashara kama MOCU. TIA. AIA. CBE HUWA WANACHUKUA KUANZIA D NNE TENA UWE MAKINI KUCHAGUA COZ AMBAZO HAZINA HESABU MAANA HESABU UNA F. YANGU NI AYO!
Yaani una F ya math, halafu unafikiria kwenda DIT?. Hata ukipewa Juche la math, nakuhakikishia hutakatiza hata mwaka!. Yale ma differential na ma integration sijui utakatizia wapi!.
Dogo umepotea hapo inaelekea huna malengo kama ulipenda kusomea dit kwa nini ulisoma arts?tena F ya hesabu...tafuta hivyo vyuo vya mjini vi kina amazon college tu..