Nawezaje kutoka mikosi

Achana na waganga kwanza
Huko hakufai ndio wanawapa mikosi wanadanganya wanatoa mikosi ili uende tena na tena
 
Hauna mikosi, fanya kazi kwa bidii, ongeza jitihada+ubunifu kuwa wa tofauti acha kufanya mambo kwa mkumbo na mazoea, achana na ushirikina utaibiwa uje ulilie humu.

Hujarogwa, ungerogwa usingejua
 
Hakuna kitu kama hicho, hizo ni imani za ajabu tu. Keep pushing, ongeza bidii utatoboa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…